Nadhani kwa kuwa unapenda sana "k" kama jina lako lilivyo ndo mana hata timu za mtaani kwenu zinakukataa. Suala la msingi kubadilika toka kuwa mpenda k na kuwa mpenda mpira hapo lazima utapata timu tu.
Nadhani kwa kuwa unapenda sana "k" kama jina lako lilivyo ndo mana hata timu za mtaani kwenu zinakukataa. Suala la msingi kubadilika toka kuwa mpenda k na kuwa mpenda mpira hapo lazima utapata timu tu.
Kipige kwanza na timu za mtaani ambazo huwa ni kama daraja la kusonga mbele. Kupitia hizo timu utaonekana na unaweza songa mbele. Samata ni mfano mzuri wa mchezaji aliyepitia njia hii.