steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,191
- 1,629
Umenikumbusha mbali kuna jamaa mmoja hivi alidharimilia kwenda S.A akauza vitu vyake vyote mpaka alipata nauli, nasikia saivi anauza genge
Ebana mi mwenyewe nataka niende mwanaNajua wapo wa kunivunja moyo ila ni kwamba nimezamilia
Naitaji maelezo au ushauli kuhusu mpango wangu wa kwenda south Africa
Mimi ni fundi wa magari lakini nikaamua kwenda kuingeza ujuzi nimeenda VETA kusomea welding and metal fabrication
Lengo langu kubwa natamani nikatafute maisha south Africa
Nahitaji kujua nini nifanye,gharama za safari,vipi ntaanza maisha nk
Mwenye kuweza kunipa maelezo ntashukuru
.NB
Haya ni mawazo yangu na hisia zangu pengine ukawa ni upuuzi kwako ila kwangu ni jambo zuri ......
Ebana
Ebana mi mwenyewe nataka niende mwana
Najua wapo wa kunivunja moyo ila ni kwamba nimezamilia
Naitaji maelezo au ushauli kuhusu mpango wangu wa kwenda south Africa
Mimi ni fundi wa magari lakini nikaamua kwenda kuingeza ujuzi nimeenda VETA kusomea welding and metal fabrication
Lengo langu kubwa natamani nikatafute maisha south Africa
Nahitaji kujua nini nifanye,gharama za safari,vipi ntaanza maisha nk
Mwenye kuweza kunipa maelezo ntashukuru
.NB
Haya ni mawazo yangu na hisia zangu pengine ukawa ni upuuzi kwako ila kwangu ni jambo zuri ..... Ebana ni pm tupange mikakati
Wabongo hawafai anasema sasa hivi anakula nyama ya Farasi kama sisi tunavokula pwezaA
Wabongo bana.
Anauza genge wapi mkuu au huko southUmenikumbusha mbali kuna jamaa mmoja hivi alidharimilia kwenda S.A akauza vitu vyake vyote mpaka alipata nauli, nasikia saivi anauza genge
HUko south, yaani alikuwa radhi afanye lolote ili afike kwa mabida na kibaya au kizuri elimu yake tu darasa la7 ila janja janja sanaAnauza genge wapi mkuu au huko south
Kwaiyo mambo safi now si ndiyo au ni msaka tonge tuHUko south, yaani alikuwa radhi afanye lolote ili afike kwa mabida na kibaya au kizuri elimu yake tu darasa la7 ila janja janja sana
Msaka Tonge tu ana mwaka na nusu tangu aende sema yeye nia yake ni kuish S.A hata angelala njeKwaiyo mambo safi now si ndiyo au ni msaka tonge tu
Kazi gani huko twende tukapige kazi?South hamna ussue. Tafuta ule uzi wa kongo ndo utajua hela ipo kongo na sio south.
South qatakutoa roho.
Kongo subiri uchaguzi uishe usepe ukapige hela.
kwani hajarudi mpaka leo😂😂😂Mwenzako shibekijijini anajichanga apate nauli ya kurudi, na ametoa onyo kuwa watu wasiendeko kichwa kichwa.