one one chief
Member
- Jan 22, 2014
- 37
- 99
?
SUMA JKT wanatumia walinzi walioajiriwa au ni hawa wa kujitolea?Ni wazo zuri sana haswa wakati huu wa watoto wa JKT kujitolea kurudi nyumbani.japokuwa kwa sasa head of the state anareplace sana hawa SUMA JKT.kampuni zingine kakataza kulinda maeneo ya miradi na ofisi zq serikali.
SUMA JKT wana walinzi.wao ila hii kampuni ni mradi ulio chini ya kamandi ya JKT mara nyingi huchukua ambao walioenda mafunzo ya kujitolea JKT na kutobahatika.kuchaguliwa kwenye ajira ya police, jwtz, usalama, fire, uhamiaji, migodi, BOT, TANAPA n,kSUMA JKT wanatumia walinzi walioajiriwa au ni hawa wa kujitolea?
Uko wapi?Tafadhari ndugu zangu mwenye kujua hatua za kufuata adi nimalize usajiri wa kampuni ya ulinzi, naomba anisadie.
Pia kama Kuna mtu anafanya kazi hiyo kwa bei rafiki tafadhari naomba kuunganishwa nae.
Natanguliza shukrani.
0765503584
Hapo ushamtairi bila ganziMkuu njoo pm
Kuna mengi naweza kukusaidia
But is headache
Kweli lazima isemweHapo ushamtairi bila ganzi
Yeah true hakunaga biashara rahisi.Kweli lazima isemwe
Hi inatakiwa iwe kazi ya bimaYeah true hakunaga biashara rahisi.
kwa kuongeza tu aina hii ya biashara.
mteja anapenda kwenye mkataba pawepo na clause/kifungu.
kisemacho akiibiwa unawajibika kulipa thamani ya kitu kilichoibwa.
Ubarikiwe Sana, nitakuchek nipate ushauri zaidiNauzoefu wa muda mrefu kwenye hii sector
Ndio ilikua Kazi yangu ya kwanza nilipo maliza CHUO KIKUU.
Ilikua Ni kampuni ya ulinzi iliyo anzishwa na captain mstaafu wa JWTZ
Baba ake Rafiki yangu nilie soma nae advance level.
Katika umri mdogo niliaminiwa na kupewa high post.
Ukiitaji msaada na ushauri nipo.
Nipo kataviUko wapi ??
Swali langu hujalijibu kwa uwazi. Maana ya swali langu ni kuwa kampuni za ulinzi kama KK Security na nyinginezo hutoa ajira kwa Watanzania ni kuwapangia kazi kwenye malindo; hao walinzi wa SUMA JKT wameajiriwa au ni wale vijana wa kujitolea?SUMA JKT wana walinzi.wao ila hii kampuni ni mradi ulio chini ya kamandi ya JKT mara nyingi huchukua ambao walioenda mafunzo ya kujitolea JKT na kutobahatika.kuchaguliwa kwenye ajira ya police,jwtz,usalama,fire,uhamiaji,migodi,BOT,TANAPA n,k
Suma Jkt Security Guards ni Sub company kutoka kitngo cha Jkt inaajiri vijana wote waliomaliza mafunzo ya jkt na kutoajiriwa serikalini so kwa wanaopenda huwa wanatuma maombi na kuajiriwa. Kwa hiyo hao ni waajiriwa wanalipwa mshahara sio kujitolea kama unavyofikiri, Suma jkt security Guards.. Wao wanafanya kazi na miradi ya kiserikali sana sana lakini pia hata wewe au kampuni nyingine yoyoyte ukitaka huduma yao wanafanya pia..... OvaSwali langu hujalijibu kwa uwazi. Maana ya swali langu ni kuwa kampuni za ulinzi kama KK Security na nyinginezo hutoa ajira kwa Watanzania ni kuwapangia kazi kwenye malindo; hao walinzi wa SUMA JKT wameajiriwa au ni wale vijana wa kujitolea?
Ndg utatafuta kutapeliwa tu humu ndani, taratibu za kufungua kampuni ya ulinzi ni zile zile za kufungua kampuni ya aina yoyote ile. Ingia website ya Brela sajili jina la kampuni, baada ya hapo utafuata taratibu zingine ikiwemo, Wizara ya mambo ya ndani, IGP nk.Tafadhali ndugu zangu mwenye kujua hatua za kufuata adi nimalize usajiri wa kampuni ya ulinzi, naomba anisadie.
Pia kama kuna mtu anafanya kazi hiyo kwa bei rafiki tafadhali naomba kuunganishwa nae.
Natanguliza shukrani.
0765503584