Maelezo zaidi tafadhali,Wadau wa jukwaa hili,
Heshima zenu wakuu. Mimi nimelima ufuta wangu na nimevuna sasa natafuta soko lilipo popote pale.
Naomba msaada wenu tafadhali.
Natanguliza shukrani
Wadau wa jukwaa hili,
Heshima zenu wakuu. Mimi nimelima ufuta wangu na nimevuna sasa natafuta soko lilipo popote pale.
Naomba msaada wenu tafadhali.
Natanguliza shukrani
Maelezo zaidi tafadhali,
Upo wapi huo ufuta kwa sasa?
Ni kiasi gani interms of tonnes or Kg?
Bei yako unauza bei gani kwa kilo?
Kuna jamaa wanaitwa Bagom Mx wananunua.
Kaka yangu..... UpoSema uko mkoa gani?tutakuelekeza wapi uende kuuza ufuta wako
Nakusakaa SanaaNipo aise
Ova
lima mkuu???mm niko lindi nina ufuta mweupe high quality no vumbi no nn