- Thread starter
- #21
bado cjapata mkuuupo mkuu........ile kitu uliipata................?
bado cjapata mkuuupo mkuu........ile kitu uliipata................?
bado cjapata mkuu
[FONT=arial
black]​[/FONT]😛eep: WAKUU
HABARINI...NATAFUTA NYUMBA ILIYOJIFICHA MAENEO YA MIKOCHENI B,NYUMA YA
TANESCO MIKOCHENI,MBEZI BEACH,,,NATAKA NIFUNGUE BIASHARA YA MASSAGE
HIVYO NDO MAANA NATAFUTA NYUMBA NZIMA ILIYOJIFICHA AMBAYO IKO KWENYE
MTAA ULIOJIFICHA..KODI YANGU NI LAKI 5 KWA MWEZI...NYUMBA IWE NA PARKING
NA UZIO NA IWE IMEJIFICHA
Loooh!!!ila biashara ya massage nackia haiko vizuri asa hv kutokana na ukata
Hivi hujapata nyumba iliyojificha mpaka leo? Miaka miwili sasaila biashara ya massage nackia haiko vizuri asa hv kutokana na ukata
nilipata tatizo biashara hailipi asa hvHivi hujapata nyumba iliyojificha mpaka leo? Miaka miwili sasa
Fanya mpango wa kuihamisha uipeleke hizo sehemu utakazo.yangu nimeshajenga ili iko sehemu ambayo haijajificha