Msaada; Natafuta mdhamini

dud alawi

Member
Mar 6, 2017
14
2
Habari zenu wadau
Mimi nimemalz kidato cha 4 since mwaka 2015 kwa matokeo aya B/MATH C, HIST C ,GEOG C,CIVICS D,KSW C,ENG D,BIO D,buh sikufanikiwa kuendelea na kidato cha tano kwa kuwa sijabalance combination pia, sikuweza kwenda private schools kutokan n hali ya kiuchumi hivyo nip tu mtaani ,naomba kwa mwenye uwezo anidhamini niende college,ni hayo tu wanajamii
 
Back
Top Bottom