Msaada: Nasumbuliwa na tatizo la moyo

Hope mko poa. Miaka ya nyuma Kama 10yrs ago wakati wa utoto, nilipenda sana kucheza Mpira, nilipokuwa nakimbia Sana nilikuwa nasikia Kama Kuna kitu kinabana kwenye moyo afu kinaacha Basi nikawa nachukulia poa, kwa kua haikunizuia kufanya kazi zangu za kila siku.

Miaka ilienda nkawa Kama muda mwingine napumbua kwa shida yaani hewa inabana na kuachia, mie nilichukulia poa kwa kua haikuwa serious, nilikuwa nadhani labda Nina nyama kwenye pua maana na mother yangu pua take zilikuwa zinabana.

Lakini siku moja moja nilikuwa na experience Kama mapigo ya nguvu ya moyo, mie nachukulia poa, nilikuwa nachukulia poa kwa sababu nilikuwa siumwi chochote, afu nilikuwa busy na kusoma hizo miaka.

Mwaka 2020 mwishoni nilikuwa nafanya mapenzi na demu wangu nkaisi Kama naishiwa pumzi, Basi nili notes kuwa ntakuwa na shida kwenye moyo, nkajipanga kutafuta hela niende hospital kubwa

Mwezi wa pili 2021 kabla sijaenda hospital nilipata mapigo ya moyo yanayoenda mbio kinyama, moyo ulikuwa unadunda Kama utachomoka, Basi moyo ukaanza kuuma yaani nilishituka hatari, Basi nkatafuta hela nkaenda hospital kwa specialist wa moyo.

Nilipima vipimo viwili, electrocardiogram na echocadiogram. Majibu yalikuwa hivi

Valves zote ziko vizuri, Ejection fraction Ni 86% wakati kwa normal heart Ni 75%, Diastolic disyfunctional grade one(I) afu nilikutwa na hypertrophic cardiomyopathy.

Doctor Ali conclude kuwa moyo wangu umetanuka, especially left ventricle (LH) nilikuwa Sina nguvu ata, ATA kunyanyua kikombe nilikuwa siwezi, moyo wangu ulikuwa unauma Sana, nilikuwa naisi kizunguzungu hatari, nilikuwa na difficult I breathing. Na kifua kubana nkitembea haraka au kunyanyua kitu ATA ndoo.

Nilianza dozii ya vidonge vya losartan na lasix. Nilipangwa kuuzulia kriniki kila baada ya wiki mbili, afu Sina bima Sina kazi. Nilimeza vidonge kwa 5months, nkaacha kwenda clinic maana ukienda unapewa vidonge hivyo hivyo na kupimwa pressure.

Badae Kuna watu washawai kupatwa na moyo kutanuka, wakanishauri nitumie na dawa za kienyeji.baada ya mwaka wa kutumia dawa za kienyeji na za hospital ( baada ya 5 months niliacha dawa za hospital nkaanza za kienyeji) haya ndo matokeo.

  • Difficult in breathing imeisha napumua vizuri
  • Nguvu ninazo natembea, sio Kama zamani sema siwezi kukimbia maana moyo utauma
  • Moyo kuuma imeisha, labda nikimbie au kubeba vitu vzito
  • Moyo kwenda mbio imeacha

Matatizo mapya
- yaani siwezi kufanya physical exercise, nkikimbia kidogo moyo utaenda mbie na ku feel uncomfortable

- kufanya mapenzi labda goli moja, sijawa stable

- Tatizo kubwaaaa Ni mkono wa kushoto na bega la kushoto, yaani mkono wa kushoto nkiufanyisha kazi utasababisha niumwe na kifua, na moyo kwenda mbio hatari, upande wa mgongo chini ya bega la kushoto ukifanya kazi kidogo au kubeba vitu vizito, au kufanya mapenzi kwa muda utasikia maumivu uko mgongoni upande wa kushoto.

Kutopona kunanifanya nakuwa na depression hatari mawazo kama yote, na pressure kupanda Mara kwa Mara,

Hapa nilipo Sina amani Wala furaha na maisha,dawa nilizozitumia zimewaponyesha watu wengi ninao wafahamu sahivi wanaendelea na life, Mimi sijui Ni ugonjwa gani huu, mwaka mzima siponi, sijui nimerogwa au Nini, wenzangu niliowakuta hospital kwa tatizo la moyo kutanuka washapona, sio wanyonge Kama Mimi, yaani nkitembea haraka shida, kukimbia shida, kunyanyua kitu kizito shida, ku sex shida khaaa.

Msaada wakuu,
Pole,
Unaishi mkoa gani? Ulipo unawezapata asali ya nyuki wadogo(nyuki wapore?)

Itafute asali ya nyuki wadogo uwe unatumia kijiko kimoja mara2 kwa siku huku unatumia ndizi mbivu mara kwa mara na kujitahidi kupunguza msongo wa mawazo.

Ukizingatia hayo utaishi kama wenzako
 
Pole,
Unaishi mkoa gani? Ulipo unawezapata asali ya nyuki wadogo(nyuki wapore?)

Itafute asali ya nyuki wadogo uwe unatumia kijiko kimoja mara2 kwa siku huku unatumia ndizi mbivu mara kwa mara na kujitahidi kupunguza msongo wa mawazo.

Ukizingatia hayo utaishi kama wenzako
Shukrani mkuu,nipo Arusha
 
Hope mko poa. Miaka ya nyuma Kama 10yrs ago wakati wa utoto, nilipenda sana kucheza Mpira, nilipokuwa nakimbia Sana nilikuwa nasikia Kama Kuna kitu kinabana kwenye moyo afu kinaacha Basi nikawa nachukulia poa, kwa kua haikunizuia kufanya kazi zangu za kila siku.

Miaka ilienda nkawa Kama muda mwingine napumbua kwa shida yaani hewa inabana na kuachia, mie nilichukulia poa kwa kua haikuwa serious, nilikuwa nadhani labda Nina nyama kwenye pua maana na mother yangu pua take zilikuwa zinabana.

Lakini siku moja moja nilikuwa na experience Kama mapigo ya nguvu ya moyo, mie nachukulia poa, nilikuwa nachukulia poa kwa sababu nilikuwa siumwi chochote, afu nilikuwa busy na kusoma hizo miaka.

Mwaka 2020 mwishoni nilikuwa nafanya mapenzi na demu wangu nkaisi Kama naishiwa pumzi, Basi nili notes kuwa ntakuwa na shida kwenye moyo, nkajipanga kutafuta hela niende hospital kubwa

Mwezi wa pili 2021 kabla sijaenda hospital nilipata mapigo ya moyo yanayoenda mbio kinyama, moyo ulikuwa unadunda Kama utachomoka, Basi moyo ukaanza kuuma yaani nilishituka hatari, Basi nkatafuta hela nkaenda hospital kwa specialist wa moyo.

Nilipima vipimo viwili, electrocardiogram na echocadiogram. Majibu yalikuwa hivi

Valves zote ziko vizuri, Ejection fraction Ni 86% wakati kwa normal heart Ni 75%, Diastolic disyfunctional grade one(I) afu nilikutwa na hypertrophic cardiomyopathy.

Doctor Ali conclude kuwa moyo wangu umetanuka, especially left ventricle (LH) nilikuwa Sina nguvu ata, ATA kunyanyua kikombe nilikuwa siwezi, moyo wangu ulikuwa unauma Sana, nilikuwa naisi kizunguzungu hatari, nilikuwa na difficult I breathing. Na kifua kubana nkitembea haraka au kunyanyua kitu ATA ndoo.

Nilianza dozii ya vidonge vya losartan na lasix. Nilipangwa kuuzulia kriniki kila baada ya wiki mbili, afu Sina bima Sina kazi. Nilimeza vidonge kwa 5months, nkaacha kwenda clinic maana ukienda unapewa vidonge hivyo hivyo na kupimwa pressure.

Badae Kuna watu washawai kupatwa na moyo kutanuka, wakanishauri nitumie na dawa za kienyeji.baada ya mwaka wa kutumia dawa za kienyeji na za hospital ( baada ya 5 months niliacha dawa za hospital nkaanza za kienyeji) haya ndo matokeo.

  • Difficult in breathing imeisha napumua vizuri
  • Nguvu ninazo natembea, sio Kama zamani sema siwezi kukimbia maana moyo utauma
  • Moyo kuuma imeisha, labda nikimbie au kubeba vitu vzito
  • Moyo kwenda mbio imeacha

Matatizo mapya
- yaani siwezi kufanya physical exercise, nkikimbia kidogo moyo utaenda mbie na ku feel uncomfortable

- kufanya mapenzi labda goli moja, sijawa stable

- Tatizo kubwaaaa Ni mkono wa kushoto na bega la kushoto, yaani mkono wa kushoto nkiufanyisha kazi utasababisha niumwe na kifua, na moyo kwenda mbio hatari, upande wa mgongo chini ya bega la kushoto ukifanya kazi kidogo au kubeba vitu vizito, au kufanya mapenzi kwa muda utasikia maumivu uko mgongoni upande wa kushoto.

Kutopona kunanifanya nakuwa na depression hatari mawazo kama yote, na pressure kupanda Mara kwa Mara,

Hapa nilipo Sina amani Wala furaha na maisha,dawa nilizozitumia zimewaponyesha watu wengi ninao wafahamu sahivi wanaendelea na life, Mimi sijui Ni ugonjwa gani huu, mwaka mzima siponi, sijui nimerogwa au Nini, wenzangu niliowakuta hospital kwa tatizo la moyo kutanuka washapona, sio wanyonge Kama Mimi, yaani nkitembea haraka shida, kukimbia shida, kunyanyua kitu kizito shida, ku sex shida khaaa.

Msaada wakuu,
Amini utapona na afya yako itarudi sawa
 
Pole sana mkuu,
Muhimu
jitahidi kuepuka stress zisizo za lazma .. vilevile usiruhusu mishtuko isiyo ya lazma ( panic shocks)
Kama ni mtu wa ibada, jitahidi kujichanganya na wenzio, usiwe mpweke! Ukiwa na tatizo la moyo ,one of best solution ni kuepuka msongo wa mawazo.
 
Pole sana gentleman. Halafu usiweke akilini sana kwamba unaumwa hiyo itaharibu psychology yako... Pia kama unaweza tafuta kitabu kinaitwa “ The power of your subconscious mind” utakuja kunishukuru baadae.
 
Umeshapata Kazi??
Hayo Mawazo ndio yanapelekea usipone Moyo uzidi kuuma,

Endelea na Dawa za Kienyeji na Kisunna, acha kujifikiria kua wewe ni Mgonjwa, ondoa hayo mawazo kabisa na ujione uko sawa ila ni changamoto ndogo ndogo,
Achana na Mafuta na punguza kiwango cha Chumvi,

Mazoezi fanya ila yasiwe mazito, jipumzishe kwa muda kwenye kufanya mapenzi hadi utakapo pona hayo mawazo uliyokua nayo,

Badili Hospital ukapime upya.
Kumbe huwa una mawazo mazuri tu ila huwa unajitoaga akili, umemshauri vema na ni wazi kuwa mawazo yanampelekesha.
 
Hope mko poa. Miaka ya nyuma Kama 10yrs ago wakati wa utoto, nilipenda sana kucheza Mpira, nilipokuwa nakimbia Sana nilikuwa nasikia Kama Kuna kitu kinabana kwenye moyo afu kinaacha Basi nikawa nachukulia poa, kwa kua haikunizuia kufanya kazi zangu za kila siku.

Miaka ilienda nkawa Kama muda mwingine napumbua kwa shida yaani hewa inabana na kuachia, mie nilichukulia poa kwa kua haikuwa serious, nilikuwa nadhani labda Nina nyama kwenye pua maana na mother yangu pua take zilikuwa zinabana.

Lakini siku moja moja nilikuwa na experience Kama mapigo ya nguvu ya moyo, mie nachukulia poa, nilikuwa nachukulia poa kwa sababu nilikuwa siumwi chochote, afu nilikuwa busy na kusoma hizo miaka.

Mwaka 2020 mwishoni nilikuwa nafanya mapenzi na demu wangu nkaisi Kama naishiwa pumzi, Basi nili notes kuwa ntakuwa na shida kwenye moyo, nkajipanga kutafuta hela niende hospital kubwa

Mwezi wa pili 2021 kabla sijaenda hospital nilipata mapigo ya moyo yanayoenda mbio kinyama, moyo ulikuwa unadunda Kama utachomoka, Basi moyo ukaanza kuuma yaani nilishituka hatari, Basi nkatafuta hela nkaenda hospital kwa specialist wa moyo.

Nilipima vipimo viwili, electrocardiogram na echocadiogram. Majibu yalikuwa hivi

Valves zote ziko vizuri, Ejection fraction Ni 86% wakati kwa normal heart Ni 75%, Diastolic disyfunctional grade one(I) afu nilikutwa na hypertrophic cardiomyopathy.

Doctor Ali conclude kuwa moyo wangu umetanuka, especially left ventricle (LH) nilikuwa Sina nguvu ata, ATA kunyanyua kikombe nilikuwa siwezi, moyo wangu ulikuwa unauma Sana, nilikuwa naisi kizunguzungu hatari, nilikuwa na difficult I breathing. Na kifua kubana nkitembea haraka au kunyanyua kitu ATA ndoo.

Nilianza dozii ya vidonge vya losartan na lasix. Nilipangwa kuuzulia kriniki kila baada ya wiki mbili, afu Sina bima Sina kazi. Nilimeza vidonge kwa 5months, nkaacha kwenda clinic maana ukienda unapewa vidonge hivyo hivyo na kupimwa pressure.

Badae Kuna watu washawai kupatwa na moyo kutanuka, wakanishauri nitumie na dawa za kienyeji.baada ya mwaka wa kutumia dawa za kienyeji na za hospital ( baada ya 5 months niliacha dawa za hospital nkaanza za kienyeji) haya ndo matokeo.

  • Difficult in breathing imeisha napumua vizuri
  • Nguvu ninazo natembea, sio Kama zamani sema siwezi kukimbia maana moyo utauma
  • Moyo kuuma imeisha, labda nikimbie au kubeba vitu vzito
  • Moyo kwenda mbio imeacha

Matatizo mapya
- yaani siwezi kufanya physical exercise, nkikimbia kidogo moyo utaenda mbie na ku feel uncomfortable

- kufanya mapenzi labda goli moja, sijawa stable

- Tatizo kubwaaaa Ni mkono wa kushoto na bega la kushoto, yaani mkono wa kushoto nkiufanyisha kazi utasababisha niumwe na kifua, na moyo kwenda mbio hatari, upande wa mgongo chini ya bega la kushoto ukifanya kazi kidogo au kubeba vitu vizito, au kufanya mapenzi kwa muda utasikia maumivu uko mgongoni upande wa kushoto.

Kutopona kunanifanya nakuwa na depression hatari mawazo kama yote, na pressure kupanda Mara kwa Mara,

Hapa nilipo Sina amani Wala furaha na maisha,dawa nilizozitumia zimewaponyesha watu wengi ninao wafahamu sahivi wanaendelea na life, Mimi sijui Ni ugonjwa gani huu, mwaka mzima siponi, sijui nimerogwa au Nini, wenzangu niliowakuta hospital kwa tatizo la moyo kutanuka washapona, sio wanyonge Kama Mimi, yaani nkitembea haraka shida, kukimbia shida, kunyanyua kitu kizito shida, ku sex shida khaaa.

Msaada wakuu,
Dah polee sana mkuu utapona tu Kikubwa Muombe Mungu na je baada ya kutumia dawa kwa miezi kadhaa bado moyo unaendelea kuvuta au hali imetulia now?
 
Hope mko poa. Miaka ya nyuma Kama 10yrs ago wakati wa utoto, nilipenda sana kucheza Mpira, nilipokuwa nakimbia Sana nilikuwa nasikia Kama Kuna kitu kinabana kwenye moyo afu kinaacha Basi nikawa nachukulia poa, kwa kua haikunizuia kufanya kazi zangu za kila siku.

Miaka ilienda nkawa Kama muda mwingine napumbua kwa shida yaani hewa inabana na kuachia, mie nilichukulia poa kwa kua haikuwa serious, nilikuwa nadhani labda Nina nyama kwenye pua maana na mother yangu pua take zilikuwa zinabana.

Lakini siku moja moja nilikuwa na experience Kama mapigo ya nguvu ya moyo, mie nachukulia poa, nilikuwa nachukulia poa kwa sababu nilikuwa siumwi chochote, afu nilikuwa busy na kusoma hizo miaka.

Mwaka 2020 mwishoni nilikuwa nafanya mapenzi na demu wangu nkaisi Kama naishiwa pumzi, Basi nili notes kuwa ntakuwa na shida kwenye moyo, nkajipanga kutafuta hela niende hospital kubwa

Mwezi wa pili 2021 kabla sijaenda hospital nilipata mapigo ya moyo yanayoenda mbio kinyama, moyo ulikuwa unadunda Kama utachomoka, Basi moyo ukaanza kuuma yaani nilishituka hatari, Basi nkatafuta hela nkaenda hospital kwa specialist wa moyo.

Nilipima vipimo viwili, electrocardiogram na echocadiogram. Majibu yalikuwa hivi

Valves zote ziko vizuri, Ejection fraction Ni 86% wakati kwa normal heart Ni 75%, Diastolic disyfunctional grade one(I) afu nilikutwa na hypertrophic cardiomyopathy.

Doctor Ali conclude kuwa moyo wangu umetanuka, especially left ventricle (LH) nilikuwa Sina nguvu ata, ATA kunyanyua kikombe nilikuwa siwezi, moyo wangu ulikuwa unauma Sana, nilikuwa naisi kizunguzungu hatari, nilikuwa na difficult I breathing. Na kifua kubana nkitembea haraka au kunyanyua kitu ATA ndoo.

Nilianza dozii ya vidonge vya losartan na lasix. Nilipangwa kuuzulia kriniki kila baada ya wiki mbili, afu Sina bima Sina kazi. Nilimeza vidonge kwa 5months, nkaacha kwenda clinic maana ukienda unapewa vidonge hivyo hivyo na kupimwa pressure.

Badae Kuna watu washawai kupatwa na moyo kutanuka, wakanishauri nitumie na dawa za kienyeji.baada ya mwaka wa kutumia dawa za kienyeji na za hospital ( baada ya 5 months niliacha dawa za hospital nkaanza za kienyeji) haya ndo matokeo.

  • Difficult in breathing imeisha napumua vizuri
  • Nguvu ninazo natembea, sio Kama zamani sema siwezi kukimbia maana moyo utauma
  • Moyo kuuma imeisha, labda nikimbie au kubeba vitu vzito
  • Moyo kwenda mbio imeacha

Matatizo mapya
- yaani siwezi kufanya physical exercise, nkikimbia kidogo moyo utaenda mbie na ku feel uncomfortable

- kufanya mapenzi labda goli moja, sijawa stable

- Tatizo kubwaaaa Ni mkono wa kushoto na bega la kushoto, yaani mkono wa kushoto nkiufanyisha kazi utasababisha niumwe na kifua, na moyo kwenda mbio hatari, upande wa mgongo chini ya bega la kushoto ukifanya kazi kidogo au kubeba vitu vizito, au kufanya mapenzi kwa muda utasikia maumivu uko mgongoni upande wa kushoto.

Kutopona kunanifanya nakuwa na depression hatari mawazo kama yote, na pressure kupanda Mara kwa Mara,

Hapa nilipo Sina amani Wala furaha na maisha,dawa nilizozitumia zimewaponyesha watu wengi ninao wafahamu sahivi wanaendelea na life, Mimi sijui Ni ugonjwa gani huu, mwaka mzima siponi, sijui nimerogwa au Nini, wenzangu niliowakuta hospital kwa tatizo la moyo kutanuka washapona, sio wanyonge Kama Mimi, yaani nkitembea haraka shida, kukimbia shida, kunyanyua kitu kizito shida, ku sex shida khaaa.

Msaada wakuu,
Pole sana kiongozi Mwenyezi Mungu atakuponya , hizo dawa za kienyeji ulizozitumia ni dawa mkuu?
 
Hope mko poa. Miaka ya nyuma Kama 10yrs ago wakati wa utoto, nilipenda sana kucheza Mpira, nilipokuwa nakimbia Sana nilikuwa nasikia Kama Kuna kitu kinabana kwenye moyo afu kinaacha Basi nikawa nachukulia poa, kwa kua haikunizuia kufanya kazi zangu za kila siku.

Miaka ilienda nkawa Kama muda mwingine napumbua kwa shida yaani hewa inabana na kuachia, mie nilichukulia poa kwa kua haikuwa serious, nilikuwa nadhani labda Nina nyama kwenye pua maana na mother yangu pua take zilikuwa zinabana.

Lakini siku moja moja nilikuwa na experience Kama mapigo ya nguvu ya moyo, mie nachukulia poa, nilikuwa nachukulia poa kwa sababu nilikuwa siumwi chochote, afu nilikuwa busy na kusoma hizo miaka.

Mwaka 2020 mwishoni nilikuwa nafanya mapenzi na demu wangu nkaisi Kama naishiwa pumzi, Basi nili notes kuwa ntakuwa na shida kwenye moyo, nkajipanga kutafuta hela niende hospital kubwa

Mwezi wa pili 2021 kabla sijaenda hospital nilipata mapigo ya moyo yanayoenda mbio kinyama, moyo ulikuwa unadunda Kama utachomoka, Basi moyo ukaanza kuuma yaani nilishituka hatari, Basi nkatafuta hela nkaenda hospital kwa specialist wa moyo.

Nilipima vipimo viwili, electrocardiogram na echocadiogram. Majibu yalikuwa hivi

Valves zote ziko vizuri, Ejection fraction Ni 86% wakati kwa normal heart Ni 75%, Diastolic disyfunctional grade one(I) afu nilikutwa na hypertrophic cardiomyopathy.

Doctor Ali conclude kuwa moyo wangu umetanuka, especially left ventricle (LH) nilikuwa Sina nguvu ata, ATA kunyanyua kikombe nilikuwa siwezi, moyo wangu ulikuwa unauma Sana, nilikuwa naisi kizunguzungu hatari, nilikuwa na difficult I breathing. Na kifua kubana nkitembea haraka au kunyanyua kitu ATA ndoo.

Nilianza dozii ya vidonge vya losartan na lasix. Nilipangwa kuuzulia kriniki kila baada ya wiki mbili, afu Sina bima Sina kazi. Nilimeza vidonge kwa 5months, nkaacha kwenda clinic maana ukienda unapewa vidonge hivyo hivyo na kupimwa pressure.

Badae Kuna watu washawai kupatwa na moyo kutanuka, wakanishauri nitumie na dawa za kienyeji.baada ya mwaka wa kutumia dawa za kienyeji na za hospital ( baada ya 5 months niliacha dawa za hospital nkaanza za kienyeji) haya ndo matokeo.

  • Difficult in breathing imeisha napumua vizuri
  • Nguvu ninazo natembea, sio Kama zamani sema siwezi kukimbia maana moyo utauma
  • Moyo kuuma imeisha, labda nikimbie au kubeba vitu vzito
  • Moyo kwenda mbio imeacha

Matatizo mapya
- yaani siwezi kufanya physical exercise, nkikimbia kidogo moyo utaenda mbie na ku feel uncomfortable

- kufanya mapenzi labda goli moja, sijawa stable

- Tatizo kubwaaaa Ni mkono wa kushoto na bega la kushoto, yaani mkono wa kushoto nkiufanyisha kazi utasababisha niumwe na kifua, na moyo kwenda mbio hatari, upande wa mgongo chini ya bega la kushoto ukifanya kazi kidogo au kubeba vitu vizito, au kufanya mapenzi kwa muda utasikia maumivu uko mgongoni upande wa kushoto.

Kutopona kunanifanya nakuwa na depression hatari mawazo kama yote, na pressure kupanda Mara kwa Mara,

Hapa nilipo Sina amani Wala furaha na maisha,dawa nilizozitumia zimewaponyesha watu wengi ninao wafahamu sahivi wanaendelea na life, Mimi sijui Ni ugonjwa gani huu, mwaka mzima siponi, sijui nimerogwa au Nini, wenzangu niliowakuta hospital kwa tatizo la moyo kutanuka washapona, sio wanyonge Kama Mimi, yaani nkitembea haraka shida, kukimbia shida, kunyanyua kitu kizito shida, ku sex shida khaaa.

Msaada wakuu,
Mkuu kikubwa ni maombi hakuna linaloshindikana juu ya maombi...

Nikupe historia fupi ya matatizo yangu yaliyonikutaga kipondi cha miaka kadhaa iliyopita

Kipindi nipo form 3 njia ya kwenda shule ilikuwa lazma nipandishe mlima, ni ilikuwa ndo njia yangu ya kila siku,kuna siku ghafla tu nikakuta nimepandisha mlima kufika juu nikaanza kusikia moyo unaenda kasi mapigo ya moyo nayasikika mpaka masikioni hali ile ilinitisha kwa kweli, siku ya pili ikawa hvyo hvyo pia ikabidi nipate wacwac sikusema home, siku ya tatu maeneo ya moyo nikaanza kusikia maumivu makali sana mpk ikabidi nianze kuwaambia nyumban nikajua labda yatapita nikanunua panadol lkn yale maumivu hayakukata wiki nzima na yalikuwa makali ikabidi niende hospital doctor akanipa dawa akasema kwamba sometime mishipa ya moyo huwa inabana na kushindwa kufanya kaz vzur, akanipa dawa nikaanza kutumia dawa zikaisha hali ilizidi kuwa mbaya nikarud hospitali nikapewa nyingine nazo zikaisha pasipo mafanikio hali ikawa mbaya zaidi nikawa siwez kukimbia, kuinama, kubeba kitu kizito, maumivu ya moyo kama kuna kitu ndani ya moyo alafu moyo una tight usiku nikilala pumz nakosa, kwa dalilo zote nilizonazo nilikuwa nikifuatilia mitandaoni nakuta ni HEART ATTACK pamoja na MOYO KUTANUKA nikasema maisha yangu sindo yanaelekea mwishoni ukifikiria moyo ndo engine, ikabidi niende hospital nyingine zaidi ya 3 (sikupata wazo la kwenda kwa dactari bingwa wa moyo) nilikuwa naenda hospital tu hizi za kawaida, nilipima vipimo vyoote kwa upande wa damu ,vidonda vya tumbo na vinginevyo, ikafika kipindi nilipewa mpaka vidonge vya kupunguza mawazo wakasema huenda labda nina mawazo, vidonge vya vidonda vya tumbo nilitumia sanaaa ingawa nilionekanaga sina ila madactar walikuwa wanasema kwamba sometime vidonda vya tumbo huwa havionekani ila dawa zote ziliisha lakn wapi ugonjwa uko palepale kifo nilikuwa nakuona mbele yangu, sikuwao kupima kipimo chochote cha moyo ila nilijua 90% kwamba hili tatizo ni la moyo, hapo ni ndani ya mwaka mzima, mara ya mwisho nikaenda hospital moja hivi hapa mjini nikamuelezea doctor hali yote niliyopitia pamoja na dawa zoooote nilizotumia doctor akabaki kaduwaa ndo alipozidi kunitisha kabisa sababu niliona kwamba doctor mwenyewe ameshakata tamaa na tatzo langu, akaniambia "Nakupiga x ray kama hakutoonekana tatizo lolote nitakuandikia rufaa uende kwa madactari bingwa wa moyo" kiufupi nilikata tamaa nikaona maisha yangu yanaelekea mwishoni sababu mpaka inafika hatua ya kupelekwa huko it mean kwamba shida niliyonayo ni kubwa. PAMOJA NA UANAUME WANGU NILILIA SITOSAHAU.....majibu yalitoka ya X ray kwamba hakuna tatizo hvyo inabidi nipewe rufaa ikabidi nirudi nyumban, nikasema hapa hakuna msaada uliobaki isipokuwa ni Mungu pekee, nikawa naenda shule nikirud napita kanisani kwenye ibada za jion, kule kwenye rufaa nikaachana nako nilibaki tu na dawa baadhi ndo nikawa nazitumia tu ilimrad ziishe kisha Mungu ajue hatma ya maisha yangu. Basi nilienda kanisani nikawa nako naanza kukata tamaa ila nikawa najipiga moyo konde, siku ambayo haikujulikana niliamka zangu asubuh kwa ajili ya kwenda kumuomba Mungu juu ya hili tatizo langu nilipofika kanisani nikaomba nikarudi nyumbani nikalala, asubuh yake nikaamka nikaona mbona kama ile hali siisikii , sikuamini nikatoa nguo nifue nikaona nikofit maana nilikuwa siwez hata kufua ,nilikuwa nafuliwa . Tangu siku hyo mpaka leo huu mwaka wa 8 silisikii tena hilo tatzo Ni Mungu pejee aliyenisaidia mpaka kufikia hapa.
MUOMBE MUNGU ANATENDA KWA WAKATI WAKE
 
Back
Top Bottom