Msaada: Nasumbuliwa na tatizo la moyo

Naye moyo ulitanuka au Kuna something else
Alikuwa anahisi maumivu na mapigo ya moyo yanaenda resi sana mpak kichwa kinamuuma sometimes akaambiwa afanyiwe operation siku mbili kabla akfariki kufikia hyo trh ya operation

Ila alikuwa sio wa kitandani anafanya shuguli zake kama kawa
 
Alikuwa anahisi maumivu na mapigo ya moyo yanaenda resi sana mpak kichwa kinamuuma sometimes akaambiwa afanyiwe operation siku mbili kabla akfariki kufikia hyo trh ya operation

Ila alikuwa sio wa kitandani anafanya shuguli zake kama kawa
Magonjwa ya moyo Ni mengi Sana, mpaka kichwa kuuma alikuwa na tatizo ambalo Ni beyond na hearts,, cardiovascular diseases nyingi hakuna headache
 
Unasumbuwaliwa Na panic atack

Hilo tatizo limeshanipata Mimi

Na kizuri zaidi uo sio ugonjwa apana Bali Na matatizo ya saikolojia tu

Mtu unafikiri kuwa ni mgonjwa kumbe wapi
 
Ndioo.yanakuwa Kama mrenda.
Mimi nina kilo 80+ .moyo ulianza huo ujinga wa kuuma uma bila Sababu na kuna wakati mapigo ya moyo yanakwenda kasi Sana kipindi nikiwa na hasira naona Kama kuna donge limekaa kifuani.
Nilipopiga hyo kwisha kabisaa
Kutafuna yakiwa mabichi?
 
Ndioo.yanakuwa Kama mrenda.
Mimi nina kilo 80+ .moyo ulianza huo ujinga wa kuuma uma bila Sababu na kuna wakati mapigo ya moyo yanakwenda kasi Sana kipindi nikiwa na hasira naona Kama kuna donge limekaa kifuani.
Nilipopiga hyo kwisha kabisaa
Sawa mkuu
 
Pole sana mkuu. Jitahidi kwenye chakula, punguza mafuta na wanga, jitahidi upate protein. Anza tartaibu mazoez mepes kama kutembea tu. Kuhusu suala la mapenzi, ongea na mwenzako akuelewe unachopitia ili muende taratiibu while you are still recovering.
Najua hali ni ngumu, lakini jitahidi ujichange change mdogo mdogo ufikishe hata laki mbilo ukakate bima NHIf. Hii ni muhimu maana shida ya moyo itachukua muda kuisha so ni vyema uwe na backup ya hiyo bima.
Mwisho wa yote Mungu akujaalie uzima.
 
Pole Sana ..Mungu asiyeshindwa na kitu akakuonekanie na kukuinulia watu wa kukusaidia..(isaya 43:4)..na kukupa kibali Cha kupona maradhi yako na kila uombalo..Amen
 
Hope mko poa. Miaka ya nyuma Kama 10yrs ago wakati wa utoto, nilipenda sana kucheza Mpira, nilipokuwa nakimbia Sana nilikuwa nasikia Kama Kuna kitu kinabana kwenye moyo afu kinaacha Basi nikawa nachukulia poa, kwa kua haikunizuia kufanya kazi zangu za kila siku.

Miaka ilienda nkawa Kama muda mwingine napumbua kwa shida yaani hewa inabana na kuachia, mie nilichukulia poa kwa kua haikuwa serious, nilikuwa nadhani labda Nina nyama kwenye pua maana na mother yangu pua take zilikuwa zinabana.

Lakini siku moja moja nilikuwa na experience Kama mapigo ya nguvu ya moyo, mie nachukulia poa, nilikuwa nachukulia poa kwa sababu nilikuwa siumwi chochote, afu nilikuwa busy na kusoma hizo miaka.

Mwaka 2020 mwishoni nilikuwa nafanya mapenzi na demu wangu nkaisi Kama naishiwa pumzi, Basi nili notes kuwa ntakuwa na shida kwenye moyo, nkajipanga kutafuta hela niende hospital kubwa

Mwezi wa pili 2021 kabla sijaenda hospital nilipata mapigo ya moyo yanayoenda mbio kinyama, moyo ulikuwa unadunda Kama utachomoka, Basi moyo ukaanza kuuma yaani nilishituka hatari, Basi nkatafuta hela nkaenda hospital kwa specialist wa moyo.

Nilipima vipimo viwili, electrocardiogram na echocadiogram. Majibu yalikuwa hivi

Valves zote ziko vizuri, Ejection fraction Ni 86% wakati kwa normal heart Ni 75%, Diastolic disyfunctional grade one(I) afu nilikutwa na hypertrophic cardiomyopathy.

Doctor Ali conclude kuwa moyo wangu umetanuka, especially left ventricle (LH) nilikuwa Sina nguvu ata, ATA kunyanyua kikombe nilikuwa siwezi, moyo wangu ulikuwa unauma Sana, nilikuwa naisi kizunguzungu hatari, nilikuwa na difficult I breathing. Na kifua kubana nkitembea haraka au kunyanyua kitu ATA ndoo.

Nilianza dozii ya vidonge vya losartan na lasix. Nilipangwa kuuzulia kriniki kila baada ya wiki mbili, afu Sina bima Sina kazi. Nilimeza vidonge kwa 5months, nkaacha kwenda clinic maana ukienda unapewa vidonge hivyo hivyo na kupimwa pressure.

Badae Kuna watu washawai kupatwa na moyo kutanuka, wakanishauri nitumie na dawa za kienyeji.baada ya mwaka wa kutumia dawa za kienyeji na za hospital ( baada ya 5 months niliacha dawa za hospital nkaanza za kienyeji) haya ndo matokeo.

  • Difficult in breathing imeisha napumua vizuri
  • Nguvu ninazo natembea, sio Kama zamani sema siwezi kukimbia maana moyo utauma
  • Moyo kuuma imeisha, labda nikimbie au kubeba vitu vzito
  • Moyo kwenda mbio imeacha

Matatizo mapya
- yaani siwezi kufanya physical exercise, nkikimbia kidogo moyo utaenda mbie na ku feel uncomfortable

- kufanya mapenzi labda goli moja, sijawa stable

- Tatizo kubwaaaa Ni mkono wa kushoto na bega la kushoto, yaani mkono wa kushoto nkiufanyisha kazi utasababisha niumwe na kifua, na moyo kwenda mbio hatari, upande wa mgongo chini ya bega la kushoto ukifanya kazi kidogo au kubeba vitu vizito, au kufanya mapenzi kwa muda utasikia maumivu uko mgongoni upande wa kushoto.

Kutopona kunanifanya nakuwa na depression hatari mawazo kama yote, na pressure kupanda Mara kwa Mara,

Hapa nilipo Sina amani Wala furaha na maisha,dawa nilizozitumia zimewaponyesha watu wengi ninao wafahamu sahivi wanaendelea na life, Mimi sijui Ni ugonjwa gani huu, mwaka mzima siponi, sijui nimerogwa au Nini, wenzangu niliowakuta hospital kwa tatizo la moyo kutanuka washapona, sio wanyonge Kama Mimi, yaani nkitembea haraka shida, kukimbia shida, kunyanyua kitu kizito shida, ku sex shida khaaa.

Msaada wakuu,

Maamuzi ya tiba ipi utumie yanahitaji umakini mkubwa sana na tahadhali. Ni vyema kufanya matibabu yenye ushahidi/evidence na wenye kujiridhisha na njia za tiba. Ni vyema kupata vipimo mara moja kwa mwaka kuangalia maendeleo yako.

Pia, ni vyema kwa ushirikiano na daktari bingwa kujua chanzo cha LVH ili kuweza kuendelea kushughulikia hilo pia. Kwani bila kufanyia kazi hali inaweza kuendelea kutokuwa vyema.

Ni vyema pia kujua mambo ambayo ukifanya yanaongeza tatizo zaidi DO vs DON'T. ie. Stress, mazoezi magumu, matumizi ya kahawa, coca, redbull, pepsi, njaa kali, kutokunywa maji ya kutosha.

Suala la imani ni muhimu katika tiba, lakini pia katika kukupa utulivu wa akili moyo na mwili. Mwenyezi Mungu akutangulie na kukusimamia katika yote.

NB: Fanya close follow-up na cardiologist au physician aliyekaribu nawe na unaweza kupata vipimo pia kutoka sehemu tofauti kwaajili ya reference zako na maendeleo pia.
 
Pole sana mkuu. Jitahidi kwenye chakula, punguza mafuta na wanga, jitahidi upate protein. Anza tartaibu mazoez mepes kama kutembea tu. Kuhusu suala la mapenzi, ongea na mwenzako akuelewe unachopitia ili muende taratiibu while you are still recovering.
Najua hali ni ngumu, lakini jitahidi ujichange change mdogo mdogo ufikishe hata laki mbilo ukakate bima NHIf. Hii ni muhimu maana shida ya moyo itachukua muda kuisha so ni vyema uwe na backup ya hiyo bima.
Mwisho wa yote Mungu akujaalie uzima.
Nilipokuwa naumwa sana, nilikaa ndani bila kutembea, yaani ATA nkinyanyua ndoo ndogo ya maji ilikuwa shida, mkono wa kushoto ATA kunyanyua kikombe nilikuwa siwezi, kutembea umbali nisingeweza, now at least nime recover naweza tembea umbali mrefu, bila shida, Ila nkijifanya nakimbia au any physical activity ndo siwezi,afu mkono wa kushoto ndo bado
 
Pole sana mkuu. Jitahidi kwenye chakula, punguza mafuta na wanga, jitahidi upate protein. Anza tartaibu mazoez mepes kama kutembea tu. Kuhusu suala la mapenzi, ongea na mwenzako akuelewe unachopitia ili muende taratiibu while you are still recovering.
Najua hali ni ngumu, lakini jitahidi ujichange change mdogo mdogo ufikishe hata laki mbilo ukakate bima NHIf. Hii ni muhimu maana shida ya moyo itachukua muda kuisha so ni vyema uwe na backup ya hiyo bima.
Mwisho wa yote Mungu akujaalie uzima.
Mkuu protein Kama nyama, mayai, maziwa si hatar kwa moyo
 
Back
Top Bottom