Gogle
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 1,495
- 871
Wakuu,
Wakuu msinicheke tafadhali, hivi nawezaje kupata gazeti la serikali? Ya Zanzibar na ya muungano, hivi hili gazeti la serikali linatolewa kila siku au kila wiki au kivipi? Je linapatikana online? Kama linauzwa ni shilingi ngapi? Dah huyu Jecha kaniletea maswali mengi sana.
Kwa anaejua tafadhali anisaidie, msinikebehi jamani.
Wakuu msinicheke tafadhali, hivi nawezaje kupata gazeti la serikali? Ya Zanzibar na ya muungano, hivi hili gazeti la serikali linatolewa kila siku au kila wiki au kivipi? Je linapatikana online? Kama linauzwa ni shilingi ngapi? Dah huyu Jecha kaniletea maswali mengi sana.
Kwa anaejua tafadhali anisaidie, msinikebehi jamani.