Hanari wana JF
Nasumbuliwa na maumivu ya shingo, mkono na mgongo. Maumivu hayo yapo kila muda ila kwa kawaida huongezeka zaidi ninapopata vistress au hofu ya kitu chochote.
Nimetembelea hospitali mbalimbali kama Muhimbili, Mawen, St Cammillus, Mac Ren polyclinic
Nimepima damu, moyo, x rays, acid sijapata matokeo
Nimeonana na spychologist lkn bado sijakaa sawa
Msaada kwa anayeweza tatua shida kama hii au ambaye kashawahi kukutana nalo
Shida ilizuka ghafla tuh baada ya kupata maumivu makali chini ya moyo kwa muda mrefu
H.pyrol ipo negative.
Nasumbuliwa na maumivu ya shingo, mkono na mgongo. Maumivu hayo yapo kila muda ila kwa kawaida huongezeka zaidi ninapopata vistress au hofu ya kitu chochote.
Nimetembelea hospitali mbalimbali kama Muhimbili, Mawen, St Cammillus, Mac Ren polyclinic
Nimepima damu, moyo, x rays, acid sijapata matokeo
Nimeonana na spychologist lkn bado sijakaa sawa
Msaada kwa anayeweza tatua shida kama hii au ambaye kashawahi kukutana nalo
Shida ilizuka ghafla tuh baada ya kupata maumivu makali chini ya moyo kwa muda mrefu
H.pyrol ipo negative.