Msaada: Naombeni meseji mzuri ya kuomba msamaha baada ya kufumaniwa

GAZETI

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
5,284
6,712
Habarini wakuu, naomba mnisaidie maneno mazuri kabisa ya kuomba msamaha pindi
nikifumaniwa, aidha kwa mdomo au meseji ya simu au barua. Maneno mazazuri kabisa
ambayo yatasababisha nisamehewe. Ahsanteni.
 
Habarini wakuu, naomba mnisaidie maneno mazuri kabisa ya kuomba msamaha pindi
nikifumaniwa, aidha kwa mdomo au meseji ya simu au barua. Maneno mazazuri kabisa
ambayo yatasababisha nisamehewe. Ahsanteni.
panga miadi tena na hawara yako huyo mliefumaniwa mkutane tena sehem nyingine afu mwambie bwanaako mkutane nae hapohapo kwenye miadi ili umuombe msamaha mbele ya hawara yako
 
Muambie hivi,Wewe ni kama basi akipanda ajue akifika kituo chake atashuka na mwingina atapanda Kwahivyo anatakiwa kuchukua maamuzi mapema na akili yake ndiyo serekali yake.
 
Sio Dhambi, ni kuomba msamaha jambo ambalo hata Mungu analipenda
hata kama umeua.
Ni Mungu yupi unae muabudu ww?anae kutuma kufanya dhambi af urud uombe msamaha?

Vile unavyo enda kuzin ndivyo utafute na maneno ya kuongea anbayo nayo yatakuwa ya uongo pia .maana hakuna ukwel ktk dhanbi
 
Back
Top Bottom