Post ya kwanza hapa:Naomba msaada wa namba zao kama wanayo hiyo huduma.
Wanazo pia.Wanatakiwa wawe na namba za customer care kama ilivyo Kwa mitandao ya simu.
Namba ya TANESCO huduma kwa Wateja ni 0748550000Hawa jamaa wanafanya maisha yanakuwa magumu.. wanatusababishia hasara kubwa, wanakata umeme bila taarifa yoyote Ile.
Wanatakiwa wawe na namba za customer care kama ilivyo Kwa mitandao ya simu.
Naomba msaada wa namba zao kama wanayo hiyo huduma.
Uko mkoa gani? Kanda hipi?Hawa jamaa wanafanya maisha yanakuwa magumu.. wanatusababishia hasara kubwa, wanakata umeme bila taarifa yoyote Ile.
Wanatakiwa wawe na namba za customer care kama ilivyo Kwa mitandao ya simu.
Naomba msaada wa namba zao kama wanayo hiyo huduma.