Msaada: Naomba kusaidiwa jina la biashara

Msaada: Naomba kusaidiwa jina la biashara

kokudo

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2010
Posts
2,571
Reaction score
1,782
Wakuu habari,

Naomba kusaidiwa jina la biashara. Naomba liwe fupi lakini lenye kuakisi ninachokifanya.

Biashara ninayotaka kufanya ni Agent wa kuwa naagiza mizigo kutoka Nje.

Naomba kuwasilisha.
 
Sikuzote mimi huwa ninaamini hivu.....
Kwa lolote ambalo unataka kukifanya ni lazima lianze na wazo.

Na ikiwa wewe ndie mwenye taswira ya kile unacho taka kukifanya, jibu lake ni kwamba lazima tayari umeanza na wazo.

Sasa unapo taka kufanya kitu na kisha ukaomba ushauri wakati hakuna mwenye kuiona ile taswira ya hasa nini unawaza, basi jibu ni kwamba tayari umeanza kufeli.

Kimsingi ulipaswa upendekeze majina kadhaa uliyo yawaza, na kisha ukaomba ushauriwe ama kupendekeza jina la biashara unayo ifukiria.
 
Wakuu habari,

Naomba kusaidiwa jina la biashara. Naomba liwe fupi lakini lenye kuakisi ninachokifanya.

Biashara ninayotaka kufanya ni Agent wa kuwa naagiza mizigo kutoka Nje.

Naomba kuwasilisha.
ushauli wangu acha iyo biashara kwa sababu hujui hata jina unaomba ushauli,utafail 100%
 
MMXX IMPORTS au MMXX AGENCY au MMXX *whatever*

*MMXX (Roman Numerals) = 2020 (The year you founded the business) Utanishukuru baadae.
 
Back
Top Bottom