seven vingt
Member
- Oct 17, 2019
- 23
- 35
Habari wanajamvi,
Kwa muda sasa nimekuwa na tatizo la kukosa usingizi nimejaribu kuonana na baadhi ya matabibu wa afya ya akili akiwemo prof Ndosi nilipata matibabu.
Baada ya matumizi ya dawa napata usingizi lakini mchana nakuwa kama teja feeling sleepy all the day na nikiacha dawa hali ya kukosa usingizi inajirudia tena. Msaada kwa anaefahamu tiba sitapenda kuwa mteja wa sleeping pills.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa muda sasa nimekuwa na tatizo la kukosa usingizi nimejaribu kuonana na baadhi ya matabibu wa afya ya akili akiwemo prof Ndosi nilipata matibabu.
Baada ya matumizi ya dawa napata usingizi lakini mchana nakuwa kama teja feeling sleepy all the day na nikiacha dawa hali ya kukosa usingizi inajirudia tena. Msaada kwa anaefahamu tiba sitapenda kuwa mteja wa sleeping pills.
Sent using Jamii Forums mobile app