Msaada: naomba kujua msanii wa kwanza kuimba huu wimbo wa hallelujah.(video attached)

Nimeomba msaada kwa sababu nahisi ndio wimbo utakaokuwa umefanikiwa cover nyingi zaid duniani na kila nikitafuta aliyeuanzisha sipati. Wajuzi naomba msaada.
 
Nimeomba msaada kwa sababu nahisi ndio wimbo utakaokuwa umefanikiwa cover nyingi zaid duniani na kila nikitafuta aliyeuanzisha sipati. Wajuzi naomba msaada.

Kama Ntakuwa sahihi, huu wimbo uliandikwa na LEONARD COHEN ambaye ni raia wa CANADA, na ulitoka kwenye albam yake ya VARIOUS POSITIONS mwaka 1984

Baada ya hapo ndio ulianzwa rudiwa rudiwa na wasaanii mbalimbali duniani
 
Kama Ntakuwa sahihi, huu wimbo uliandikwa na LEONARD COHEN ambaye ni raia wa CANADA, na ulitoka kwenye albam yake ya VARIOUS POSITIONS mwaka 1984

Baada ya hapo ndio ulianzwa rudiwa rudiwa na wasaanii mbalimbali duniani
Thank you very much for breaking this code mkuu... Nimemuangalia kwa youtube anaweza akawa ndiye mwenye wimbo coz anauimba kwa utulivu na tone ya aina yake. Na Ina view milion71. Japo sio kigezo but naamini atakuwa ndiye mwenye og. Video hii hapa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom