Samily de cruze
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 230
- 680
Unataka kufahamu nini , upo general sana mkuu jazia nyama nyama
Mmh mwaka mmoja wapi huko? Labda cerfiticate ila kama anataka awe competent asome degree miaka mi3Chuoni utafundishwa kwa miaka mitatu in fact ungesoma kwa mwaka mmoja tu, waste of time
Je ukisoma kozi hii utani shughuli aha hasa na nini pia ni chuo gani ambacho kinatoa kozi hiiUnataka kufahamu nini , upo general sana mkuu jazia nyama nyama
Sijakuelewa vzr, uandishi wako mgumu kidogoJe ukisoma kozi hii utani shughuli aha hasa na nini pia ni chuo gani ambacho kinatoa kozi hii
Sent using Jamii Forums mobile app