SheriaE
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 606
- 446
Habari wakuu, poleni na majukumu ya kulijenga taifa.
Mimi ni mkazi wa nyanda za juu kusini mwa Tanzania.
Kulingana na kichwa cha uzi. Naomba msaada.
Kwa kifupi sifahamu au sina uhakika mdhamini anatakiwa awe vipi na niwe na mahusiano gani naye.
Swali lingine ni kwamba, ikiwa nimemuweka mtu kama mdhamini wangu kwenye CV ni lazima nimuambie au hakuna ulazima.
Pia ikiwezekana naomba mnianishie sifa za Mdhamini. Mfano nimeomba kazi Ajira Portal.
Natatizwa sana hapo. Msaada wenu wakuu nitafarijika. Mtaani kuna kaza
Good evening.
Mimi ni mkazi wa nyanda za juu kusini mwa Tanzania.
Kulingana na kichwa cha uzi. Naomba msaada.
Kwa kifupi sifahamu au sina uhakika mdhamini anatakiwa awe vipi na niwe na mahusiano gani naye.
Swali lingine ni kwamba, ikiwa nimemuweka mtu kama mdhamini wangu kwenye CV ni lazima nimuambie au hakuna ulazima.
Pia ikiwezekana naomba mnianishie sifa za Mdhamini. Mfano nimeomba kazi Ajira Portal.
Natatizwa sana hapo. Msaada wenu wakuu nitafarijika. Mtaani kuna kaza
Good evening.