Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 7,621
- 16,373
Mwite mmoja na umwambie kwa lugha kistaarabu tu kuwa wanatakiwa kuhama hivyo awataarifu na wenzake. Wape na muda kama wiki 2 ili wapate nafasi ya kuhamisha familia zao. Mende ni waelewa naamini watakuelewa na wataondoka wenyewe.
Wakigoma wapeleke mahakamani.
Wakigoma wapeleke mahakamani.