MSAADA: Naogopa kufanya mapenzi nikiwa na Mwanamke

MSAADA: Naogopa kufanya mapenzi nikiwa na Mwanamke

Hapan nakuwa n hofu tu sijui why
Dogo acha hiyo ni moja wapo wa dhambi zinazomtenga binadamu na muumba wake,kutapanya kipato chako,kukuletea magonjwa mabaya ya zinaa HIV included,kuifarakanisha akili yako na moyo wako in short hasara ni nyingi kuliko faida.

Ufanyeje?tunza afya yako,linda kipato chako ukifika miaka 28 waambie wazee wako wakutafutie mwanamke uoe.
NB:Kufanya ngono hovyo hovyo siyo ujanja wala kufuata taratibu za kijamii kusubiri mpaka uoe siyo ushamba.
 
Back
Top Bottom