Msaada: Namtafuta Jane

Msaada: Namtafuta Jane

Nenda facebook kwanza bwana mdgo .uki mkosa uko basi endelea na maisha yako tu
JF ina kazi gani ?

Naona kuna watu wanajua kazi ya Jamii Forums kuliko wanajamii wenyewe au intentions za Founders..., Anyway kila mtu ana haki ya kujibu chochote anachotaka ila morally sio busara kwa anayejibiwa kama hatapata msaada anaotaka..., Maana yangu ni kwamba huwezi kumkosa mtu Facebook alafu ukampata hapa ?
 
asaiv mileage itakua inakimbilia 40yrs,
anyway, nenda fb search kuna group la korogwe girls high school, anza kwa kuulizia aliemaliza mwaka husika(2002) form six, then malizana nae, akikataa au akileta longo longo, anza kwa kucheza na marafk zake fb, hata km anatumia nick name km unamfaham cheza na ID za kikee, ukimkosa kwa marafk zake, fungua profile za marafiki zake angalia about, ukiona background yake ya elimu naye inamuonesha ni member wa korogwe girls mwaka husika, naye anza kumpekua.
Hii utaweza km tuu umedhamilia.

Jitahd unielewe kwenye kucheza na hizo MARAFIKI hapo juu, sijakosea na hamna lugha fupi zaid ya hio,
 
Naelewa hali uliyonayo mkuu.. saa nyingine nafsi inawatafuta sana tuliopotezana nao myda mrefu.. nshaleta uzi humu wa niluowapoteza since 2010 na kila mwaka nawakumbuka sana ila sina namna tena..

Joyce Mringi.. Weruweru, Marangu TTC .

Jasmine wa Tabata Dar na Pasua Moshi..

God You Know All In Me.
 
Hmmmm! Miaka 18 bado unamtafuta tu? Kila la heri.

WanaJF, heshima kwenu. Naamini weekend inaenda vizuri.

Nimekuja kwenu na ombi moja. Namtafuta dada anayeitwa Jane. Jina lake la pili nadhani ni Ossoro (Jane Ossoro!).

Mara ya mwisho kupotezana na huyu dada ilikuwa mwaka 2001. Tulionana pale maeneo ya Chuo cha Afya na Tiba Muhimbili, Dar es salaam, aliponitembelea kama shemeji yake kwa mpenzi wake ambaye wakati huo alikuwa amehamia/amesafiri kwenda Marekani na kumuacha Jane Tanzania.

Baada ya hapo hatukuweza kuonana au kuwasiliana tena kutokana na changamoto za kimawasiliano zilizokuwepo kipindi hicho. Point muhimu ni kwamba kati ya mwaka 2000 na 2001 huyu Jane alikuwa akisoma Korogwe Girls, yeye akiwa form 5 au 6. I think alikuwa akisoma mchepuo wa arts.

Bila shaka hapa jukwaani kutakuwa na cohort ya wadada waliopita Korogwe Girls (iliyopo Korogwe, Tanga) between mwaka 1999 na 2002.

Nimejaribu kumtafuta kwa njia nyingine kwa muda mrefu but imeshindikana. Nafikiri njia hii inaweza kunisaidia kuwasiliana na kumjulia hali Jane.

Najua she was kinda heartbroken kutokana na yaliyotokea kati yake na rafiki yangu (boy friend wake), and kwasasa I just really wanna know how she is doing. Alikuwa a great shemeji na rafiki pia. Maisha yana mambo mengi na inabidi yaendelee.

Naomba kama Jane mwenyewe yuko hapa JF au mtu yeyote yule mwenye details zake regarding her whereabouts tafadhali aje PM.

Nitafurahi sana kupata taarifa zozote kuhusu yeye. Natanguliza shukurani kwenu. Blessings!
 
Naelewa hali uliyonayo mkuu.. saa nyingine nafsi inawatafuta sana tuliopotezana nao myda mrefu.. nshaleta uzi humu wa niluowapoteza since 2010 na kila mwaka nawakumbuka sana ila sina namna tena..

Joyce Mringi.. Weruweru, Marangu TTC .

Jasmine wa Tabata Dar na Pasua Moshi..

God You Know All In Me.
Asante sana mkuu kwa kunielewa. Be blessed!
 
asaiv mileage itakua inakimbilia 40yrs,
anyway, nenda fb search kuna group la korogwe girls high school, anza kwa kuulizia aliemaliza mwaka husika(2002) form six, then malizana nae, akikataa au akileta longo longo, anza kwa kucheza na marafk zake fb, hata km anatumia nick name km unamfaham cheza na ID za kikee, ukimkosa kwa marafk zake, fungua profile za marafiki zake angalia about, ukiona background yake ya elimu naye inamuonesha ni member wa korogwe girls mwaka husika, naye anza kumpekua.
Hii utaweza km tuu umedhamilia.

Jitahd unielewe kwenye kucheza na hizo MARAFIKI hapo juu, sijakosea na hamna lugha fupi zaid ya hio,
Sawa mkuu. Asante sana kwa ushauri.
 
JF ina kazi gani ?

Naona kuna watu wanajua kazi ya Jamii Forums kuliko wanajamii wenyewe au intentions za Founders..., Anyway kila mtu ana haki ya kujibu chochote anachotaka ila morally sio busara kwa anayejibiwa kama hatapata msaada anaotaka..., Maana yangu ni kwamba huwezi kumkosa mtu Facebook alafu ukampata hapa ?
Wisdom at its best! Sensible people are still existing. Asante sana mkuu for such a great comment and advice as well. Barikiwa mno mkuu!
 
Kwa kuanzia nenda voda shop ya posta jiji DSM yupo mdada jina lake easter amesoma korogwe girl miaka hiyo kama anaweza kumfahamu
 
Aaah Meeyah. Then hiyo itamaanisha kuwa huyo mumeo atakuwa na shida nyingine na wewe. Alikuwa hakuamini au alishakuchoka in the first place. Sio kwasababu ya kuuliziwa na mtu mwingine tena bila nia yoyote ovu! Hii meseji yangu iko very clear. Namtafuta kama ndugu na rafiki tu. Ana maisha yake, ni vizuri tuyaheshimu. Kwa taarifa yako ni dada tulikuwa tunaheshimiana sana. Pia ni dada alikuwa anajiheshimu mno. Vitu vingi sikuviandika kwenye hii thread kwasababu nilihofia kuwa kuna watu watafanya spinning badala ya kuwa positive!
Umeshaoa?
 
WanaJF, heshima kwenu. Naamini weekend inaenda vizuri.

Nimekuja kwenu na ombi moja. Namtafuta dada anayeitwa Jane. Jina lake la pili nadhani ni Ossoro (Jane Ossoro!).

Mara ya mwisho kupotezana na huyu dada ilikuwa mwaka 2001. Tulionana pale maeneo ya Chuo cha Afya na Tiba Muhimbili, Dar es salaam, aliponitembelea kama shemeji yake kwa mpenzi wake ambaye wakati huo alikuwa amehamia/amesafiri kwenda Marekani na kumuacha Jane Tanzania.

Baada ya hapo hatukuweza kuonana au kuwasiliana tena kutokana na changamoto za kimawasiliano zilizokuwepo kipindi hicho. Point muhimu ni kwamba kati ya mwaka 2000 na 2001 huyu Jane alikuwa akisoma Korogwe Girls, yeye akiwa form 5 au 6. I think alikuwa akisoma mchepuo wa arts.

Bila shaka hapa jukwaani kutakuwa na cohort ya wadada waliopita Korogwe Girls (iliyopo Korogwe, Tanga) between mwaka 1999 na 2002.

Nimejaribu kumtafuta kwa njia nyingine kwa muda mrefu but imeshindikana. Nafikiri njia hii inaweza kunisaidia kuwasiliana na kumjulia hali Jane.

Najua she was kinda heartbroken kutokana na yaliyotokea kati yake na rafiki yangu (boy friend wake), and kwasasa I just really wanna know how she is doing. Alikuwa a great shemeji na rafiki pia. Maisha yana mambo mengi na inabidi yaendelee.

Naomba kama Jane mwenyewe yuko hapa JF au mtu yeyote yule mwenye details zake regarding her whereabouts tafadhali aje PM.

Nitafurahi sana kupata taarifa zozote kuhusu yeye. Natanguliza shukurani kwenu. Blessings!
Huyo hapo Jane wako
Screenshot_20191027-144232.jpeg
 
maisha yako very enteresting, kuna umri ukifika unakumbuka mambo mengi sana yaliyopita, halafu unabaki kuumia rohoni tu, najua unayoyapitia, jitahidi kumsahau mkuu
 
asaiv mileage itakua inakimbilia 40yrs,
anyway, nenda fb search kuna group la korogwe girls high school, anza kwa kuulizia aliemaliza mwaka husika(2002) form six, then malizana nae, akikataa au akileta longo longo, anza kwa kucheza na marafk zake fb, hata km anatumia nick name km unamfaham cheza na ID za kikee, ukimkosa kwa marafk zake, fungua profile za marafiki zake angalia about, ukiona background yake ya elimu naye inamuonesha ni member wa korogwe girls mwaka husika, naye anza kumpekua.
Hii utaweza km tuu umedhamilia.

Jitahd unielewe kwenye kucheza na hizo MARAFIKI hapo juu, sijakosea na hamna lugha fupi zaid ya hio,
Niliwahi ingia FB groups nilizozihisi kuwasiliana na wasomi wenza wa niliyekuwa namtafuta. Kila mmoja ananiambia "Tulia na Mkeo, Lea Familia".

Ikabidi niahirishe tuu.
 
Back
Top Bottom