Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 12,365
- 19,356
JF ina kazi gani ?Nenda facebook kwanza bwana mdgo .uki mkosa uko basi endelea na maisha yako tu
Naona kuna watu wanajua kazi ya Jamii Forums kuliko wanajamii wenyewe au intentions za Founders..., Anyway kila mtu ana haki ya kujibu chochote anachotaka ila morally sio busara kwa anayejibiwa kama hatapata msaada anaotaka..., Maana yangu ni kwamba huwezi kumkosa mtu Facebook alafu ukampata hapa ?