The Boldly
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,377
- 5,150
Tatizo ni kuvia kwako kwa akili ndo kunakusumbua,umevurugikiwa maono na umekosa kabisa uwezo wa kupambanua mambo.Kwani nilikuwa nazungumzia furniture za zamani kwenye huu uzi? Acha Ujuaji na UBASHITE.
Kama ulivyosema baba na mama waliishi pamoja kisha wakatengana! Nina imani kabisa mama atakuwa na detail kidogo kumuhusu baba, kaa chini na mama umuulize kwa utaratibu atakwambia. Kisha ulete mrejeshoHabari wanajamii forum? Kwa jina naitwa Shamsa,namtafuta baba yangu mzazi ambaye tulipotezana miaka 23 iliyopita sikuwahi bahatika kumfahamu wala kuikariri sure yake sababu aliondoka ningali bado mdogo sana.
Kwa taarifa nilizozipata juu juu baba huyo alikuwa akifahamika kwa jina la "Abbas Sendeu" ingawa bado sina uhakika sana kuhusiana na hilo jina la Sendeu ila kiasili alikuwa ni mtu kutoka Tanga japokuwa sikubahatika kujua kabila lake kabisa,, walikutana na mama yangu ambaye anaitwa Salama ambaye pia aliwahi kusoma chuo cha biashara cha Shinyanga na katika historia yao fupi waliwahi kuishi Mwanza na Arusha kabla ya kutengana na mama yangu kuhamia Dodoma ambapo ndio makazi yetu mpaka sasa.
Tafadhali! popote upatapo ujumbe huu naomba usiache kunitafuta baba yangu maana natamani kuijua true identity yangu....pia ombi langu kwa wanajamii forum, yoyote mwenye taarifa inayoweza kunisaidia kupatikana kwake na inayoshabiihana ama kurandana na majina au historia tajwa hapo naomba asisite kunifahamisha kwa namba zifuatazo...0754638458 na 0756289602.
Mwisho naomba kutoa angalizo au tahadhali naomba namba zilizo wekwa hapo juu zitumike kwa ajili ya matumizi yaliyotajwa hapo juu.
Unajua inawezekana baba alijaribu kumtafuta lakini wanavyohama ndio hajui wapo wapi. Wengi ya watoto hutafuta upande wa baba kwasababu ikitokea anahitaji mchango wa damu huwa rahisi kupatikana na kuchangia.Sasa wanini kama yeye hajawah kukutafuta
Tatizo usikute mama alibakwa na mjomba au baba ndio maana wanaficha ishu. Au hujawahi sikia baba au mjomba kambaka mwanawe?? Sasa kama hapo utamwabia vipi mtoto kama baba yangu ndio alienibaka na kukuza wewe au mjomba fulani ndio baba yako hatari sana.Kama ulivyosema baba na mama waliishi pamoja kisha wakatengana! Nina imani kabisa mama atakuwa na detail kidogo kumuhusu baba, kaa chini na mama umuulize kwa utaratibu atakwambia. Kisha ulete mrejesho
Mtwara sehem gan,maan kuna mtu namjua mtwara huko huko alikuwa n jina la sendeuBaba yako alikuwa anafanya kazi gani maana mi kuna mtu alikuwa mwalimu na alikuwa anatumia hilo jina A sendeu.. yy alikuwa mtwara huko..
Honestly...cjawahi pata details khs yy alikuwa anafny shughuli gn zaid ya hzo hapoMtwara sehem gan,maan kuna mtu namjua mtwara huko huko alikuwa n jina la sendeu
Hayupo tayari kuniweka wazi kuhusu hili swala sasa sielewi ni kwann ndo nimefikia maamuzi haya ya kuomba msaada wa taarifa kuhusu yeye
Shamsa jaribu kukaa na mama vizuri kwa busara zote muulize kwa upole juu ya baba yako nini kilitokea na yupo wapi, usifanye hivi behind her back utamuumiza sana mama yako maana yeye ndiye amehangaika na wewe kipindi chote hicho katika malezi mpaka umekua na kufikia hapo,tulia na mama i believe maisha yataendelea tu maana hata huyo baba unaemtafuta angekua anakupenda angekutafuta kabla yako,ni ushauri tu
acha ujuwaji ewe MAKUziNdio Zenyewe ID za samani hizi? Mbona POVU kama LOTE?
Shamsa usijekuwa wewe ni mtoto wa Sendeu yule chitomb... tulikuwa naye chuo cha mifugo Tengeru? Ila jina la kwanza silikumbuki! Huyu jamaa ni kweli aliwahi kufanya kazi Mwanza idara ya mifugo kabla ya kwenda Arusha baadaye Dar manispaa ya Kinondoni. Hebu pitapita kwenye hizi manispaa zote za Dar idara ya mifugo, anzia kwanza Kino ukimkosa hapo nenda Ilala! Sendeu atanisamehe kama nimemchongea kwa binti yake aliyekuwa hataki amjue! Ila kama siye basi anaweza akawa babako mdogo au mkubwa! Nitakupigia simu leo tuelewane wewe mtoto wa Kibondei!!ni vp umehisi kuwa mm ni mbondei wa muheza?
Ongea vizuri na mama yako utampata baba yako.Habari wanajamii forum? Kwa jina naitwa Shamsa,namtafuta baba yangu mzazi ambaye tulipotezana miaka 23 iliyopita sikuwahi bahatika kumfahamu wala kuikariri sure yake sababu aliondoka ningali bado mdogo sana.
Kwa taarifa nilizozipata juu juu baba huyo alikuwa akifahamika kwa jina la "Abbas Sendeu" ingawa bado sina uhakika sana kuhusiana na hilo jina la Sendeu ila kiasili alikuwa ni mtu kutoka Tanga japokuwa sikubahatika kujua kabila lake kabisa,, walikutana na mama yangu ambaye anaitwa Salama ambaye pia aliwahi kusoma chuo cha biashara cha Shinyanga na katika historia yao fupi waliwahi kuishi Mwanza na Arusha kabla ya kutengana na mama yangu kuhamia Dodoma ambapo ndio makazi yetu mpaka sasa.
Tafadhali! popote upatapo ujumbe huu naomba usiache kunitafuta baba yangu maana natamani kuijua true identity yangu....pia ombi langu kwa wanajamii forum, yoyote mwenye taarifa inayoweza kunisaidia kupatikana kwake na inayoshabiihana ama kurandana na majina au historia tajwa hapo naomba asisite kunifahamisha kwa namba zifuatazo...0754638458 na 0756289602.
Mwisho naomba kutoa angalizo au tahadhali naomba namba zilizo wekwa hapo juu zitumike kwa ajili ya matumizi yaliyotajwa hapo juu.
Tulia ukue..!Mkuu kama maisha yanenda wachana na huyo dingi. Miaka 23 bado unahangaika kumtafuta?
Fanya mambo yako, achana kupoteza muda kwa mambo yasiyo ya msingi.
Mimi kama ni kumtafuta ningekuwa namtaguta ili nimuondoe duniani sio kwa wema.
Tumia watu walio karibu na mama yako,has a mama yako Mkubwa au mdogo wamdadisi naimani atatoa siri,na ww utajua baba yako alipo, pia jitahidi kujisogeza karibu na mama atatoa SiriHabari wanajamii forum? Kwa jina naitwa Shamsa,namtafuta baba yangu mzazi ambaye tulipotezana miaka 23 iliyopita sikuwahi bahatika kumfahamu wala kuikariri sure yake sababu aliondoka ningali bado mdogo sana.
Kwa taarifa nilizozipata juu juu baba huyo alikuwa akifahamika kwa jina la "Abbas Sendeu" ingawa bado sina uhakika sana kuhusiana na hilo jina la Sendeu ila kiasili alikuwa ni mtu kutoka Tanga japokuwa sikubahatika kujua kabila lake kabisa,, walikutana na mama yangu ambaye anaitwa Salama ambaye pia aliwahi kusoma chuo cha biashara cha Shinyanga na katika historia yao fupi waliwahi kuishi Mwanza na Arusha kabla ya kutengana na mama yangu kuhamia Dodoma ambapo ndio makazi yetu mpaka sasa.
Tafadhali! popote upatapo ujumbe huu naomba usiache kunitafuta baba yangu maana natamani kuijua true identity yangu....pia ombi langu kwa wanajamii forum, yoyote mwenye taarifa inayoweza kunisaidia kupatikana kwake na inayoshabiihana ama kurandana na majina au historia tajwa hapo naomba asisite kunifahamisha kwa namba zifuatazo...0754638458 na 0756289602.
Mwisho naomba kutoa angalizo au tahadhali naomba namba zilizo wekwa hapo juu zitumike kwa ajili ya matumizi yaliyotajwa hapo juu.