The Boldly
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,377
- 5,150
Sasa I'd ya zamani ya nini?Njoo na ID yako ya zamani maana umeandika kama mwenyeji wakati umejiunga leo...Terehe 21 Sept 2018.
View attachment 873602
Sasa I'd ya zamani ya nini?Njoo na ID yako ya zamani maana umeandika kama mwenyeji wakati umejiunga leo...Terehe 21 Sept 2018.
View attachment 873602
Ukiona kuna kitu unafichwa,jua kuna swala la msingi nyuma yake.Huenda mama amezalishwa na ndugu,anayefahamika vyema na wamama wadogo.Hivyo wameamua kukupoteza maboya.Kuwa na tahadhari kubwa na kuwa tayari kusikia chochote na kuikabili.(ndoa zina siri nyingikuna muda nahisi kuna kitu nafichwa kitu sasa ni mtu mzima nahitaji kufahamu ukweli ambao najua siwezi upata kwa mama zangu maana ni kipindi kirefu nimekuwa nikiungoja na kuutafuta
Mbona kiko vizuri tu mkuuHicho kifungu cha mwisho sasa![]()
![]()
![]()
![]()
Hayupo tayari kuniweka wazi kuhusu hili swala sasa sielewi ni kwann ndo nimefikia maamuzi haya ya kuomba msaada wa taarifa kuhusu yeye
mzee baba hii kali sana hahaaaapamoja angalizo kwenye aya ya mwisho kupitia namba hizo unaweza pata mume,yote kwa yote iweje mama yako hasijue jina la baba yako kamili ilikuwaje?
Kujua kuandika kwa mpangilio vizuri ni hulka ya mtu mzima ajuaye kusoma na kuandika,sio lazma awe ametumia jfNjoo na ID yako ya zamani maana umeandika kama mwenyeji wakati umejiunga leo...Terehe 21 Sept 2018.
View attachment 873602
Sasa I'd ya zamani ya nini?
Ndio Zenyewe ID za samani hizi? Mbona POVU kama LOTE?Kujua kuandika kwa mpangilio vizuri ni hulka ya mtu mzima ajuaye kusoma na kuandika,sio lazma awe ametumia jf
Kuna ids za furniture (samani) humu JF?Ndio Zenyewe ID za samani hizi? Mbona POVU kama LOTE?
ni vp umehisi kuwa mm ni mbondei wa muheza?Kwa kabila wewe ni mbondei wa muheza
Mtu aliyeishiwa hoja hukimbilia kwenye kuangalia makosa ya sarufi,cha umuhimu kujua context ilikuwa nini.Kuna ids za furniture (samani) humu JF?
Be carefull, ukweli mwingine unauma ukiujua, labda ndio maana unafichwakuna muda nahisi kuna kitu nafichwa kitu sasa ni mtu mzima nahitaji kufahamu ukweli ambao najua siwezi upata kwa mama zangu maana ni kipindi kirefu nimekuwa nikiungoja na kuutafuta
Maudhui nitayapataje kama umekosea kuandika?Mtu aliyeishiwa hoja hukimbilia kwenye kuangalia makosa ya sarufi,cha umuhimu kujua context ilikuwa nini.
Kwani nilikuwa nazungumzia furniture za zamani kwenye huu uzi? Acha Ujuaji na UBASHITE.Maudhui nitayapataje kama umekosea kuandika?
Huwezi kuwa na hoja halafu ukashindwa kuipresent vizuri,umelewa?
Atakayemuona baba yangu baba swalehe antafute kwa hizi namba
10239



nakushauri jambo..Habari wanajamii forum? Kwa jina naitwa Shamsa,namtafuta baba yangu mzazi ambaye tulipotezana miaka 23 iliyopita sikuwahi bahatika kumfahamu wala kuikariri sure yake sababu aliondoka ningali bado mdogo sana.
Kwa taarifa nilizozipata juu juu baba huyo alikuwa akifahamika kwa jina la "Abbas Sendeu" ingawa bado sina uhakika sana kuhusiana na hilo jina la Sendeu ila kiasili alikuwa ni mtu kutoka Tanga japokuwa sikubahatika kujua kabila lake kabisa,, walikutana na mama yangu ambaye anaitwa Salama ambaye pia aliwahi kusoma chuo cha biashara cha Shinyanga na katika historia yao fupi waliwahi kuishi Mwanza na Arusha kabla ya kutengana na mama yangu kuhamia Dodoma ambapo ndio makazi yetu mpaka sasa.
Tafadhali! popote upatapo ujumbe huu naomba usiache kunitafuta baba yangu maana natamani kuijua true identity yangu....pia ombi langu kwa wanajamii forum, yoyote mwenye taarifa inayoweza kunisaidia kupatikana kwake na inayoshabiihana ama kurandana na majina au historia tajwa hapo naomba asisite kunifahamisha kwa namba zifuatazo...0754638458 na 0756289602.
Mwisho naomba kutoa angalizo au tahadhali naomba namba zilizo wekwa hapo juu zitumike kwa ajili ya matumizi yaliyotajwa hapo juu.