ANT DRUGS
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 5,231
- 6,472
Poleni na msiba wa kiongozi wetu mpendwa wakuu.Nmefungua account juzi na leo nashangaa naingia wananiambiwa account yangu imezuiliwa nikiangalia hakuna content mbya niliyopost.
Nawezaje kuirudisha?Nmejaribu kucreat account nyingne naambiwa namba yangu hairuhusiwi kucreat account. Whts wrong?
Nawezaje kuirudisha?Nmejaribu kucreat account nyingne naambiwa namba yangu hairuhusiwi kucreat account. Whts wrong?
nyinyi mtu 

