Msaada: Namba ya WhatsApp ikipigwa ban

Daaaaaah sawa, but hawatoi taarifa mkuu ndo tatizo yaani mtu haujui tatizo lako.
 
Mwenye tatizo la kufungiwa WhatsApp (WhatsApp banned) nicheki kwa namba 0684448888 tuone namna gani ya kusaidiana
 
Mimi ilinitokea hio nikaandika Email Whatsapp Support nika adress hio Concern na wakanifungulia kwa warning kuwa nisitumie unofficial Whatsapp
 
Naombeni na mm msaada.hata mm wananiambia my namba banned to use wasap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…