House4Rent Msaada: nahitaji nyumba ya kupanga

tricecriss

JF-Expert Member
Feb 18, 2013
225
59
Habari wana JF!
Natafuta nyumba ya kupanga ya vyumba viwili kimoja master ijiegemee maji na umeme iwe na fance.maeneo ya sinza,kijitonyama,mwenge,makongo juu au changanyike. Bei kuanzia 200000 mpaka 300000
Nawasilisha
 
Wasiliana nami kwa 0713415537 ila hapo tutapata makongo jua, kwa sinza,mwenge,kyama inabidi uongeze dau unless kama utaridhika na zile za kizamani
 
Habari wana JF!
Natafuta nyumba ya kupanga ya vyumba viwili kimoja master ijiegemee maji na umeme iwe na fance.maeneo ya sinza,kijitonyama,mwenge,makongo juu au changanyike. Bei kuanzia 200000 mpaka 300000
Nawasilisha

Ni ago Nyumba hiyo Eneo la targets mAsaiti unaweza kuhama hata kesho ni pm au inrush i.e. Namba zako hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom