Yuyo Ahumile Shamalendi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2018
- 993
- 785
Siku zote kizuri hujidhihirisha kikiondoka, alipokua madarakani mlimdhihaki, mlimtukana, wakawa wanagoma makazini kisa kuongezewa mshahara, na mzee wa watu hakua na hiana akaongeza mshahara na posho kede kede, lakini bado haikutosha malalamiko yaliendelea tu tena kwa kumdharau, sasa wagome wakati huu, wakati huu sio wa kucheza tuko na baba mwenye msimamo wake ukigoma kula tu wachapwa viboko na kufukuzwa nyumbani, sio kama baba yule ukigoma kula waongezewa chakula kizuri na kubembelezwa.Popular president jakaya kikwete A good former president