KAJOKELAA Senior Member Oct 17, 2019 123 106 Nov 19, 2019 #1 Wadau ninampango wa kuchimba kisima,ambaye anajua bei za mota ndogo na kubwa,nipo mikoani nimejaribu kuulizia kwetu hazipatikani.
Wadau ninampango wa kuchimba kisima,ambaye anajua bei za mota ndogo na kubwa,nipo mikoani nimejaribu kuulizia kwetu hazipatikani.
la magica JF-Expert Member Sep 30, 2015 1,802 2,737 Nov 19, 2019 #2 Ungekua Dar ningekuelekeza machimbo ya mota used na mpya.
wa stendi JF-Expert Member Jul 7, 2016 24,688 26,796 Nov 19, 2019 #3 KAJOKELAA said: Wadau ninampango wa kuchimba kisima,ambaye anajua bei za mota ndogo na kubwa,nipo mikoani nimejaribu kuulizia kwetu hazipatikani. Click to expand... Motor ipi sasa wee unataka mota au pump au swali lako sijalielewa mimi
KAJOKELAA said: Wadau ninampango wa kuchimba kisima,ambaye anajua bei za mota ndogo na kubwa,nipo mikoani nimejaribu kuulizia kwetu hazipatikani. Click to expand... Motor ipi sasa wee unataka mota au pump au swali lako sijalielewa mimi
KAJOKELAA Senior Member Oct 17, 2019 123 106 Nov 22, 2019 Thread starter #4 Hivi kuna sehemu nimetaja pump jaman wa stendi said: Motor ipi sasa wee unataka mota au pump au swali lako sijalielewa mimi Click to expand...
Hivi kuna sehemu nimetaja pump jaman wa stendi said: Motor ipi sasa wee unataka mota au pump au swali lako sijalielewa mimi Click to expand...
MNYWABUJU JF-Expert Member Sep 6, 2018 260 327 May 24, 2020 #5 Write your reply...habari kiongozi ulishafanikisha kupata mota