Msaada: Nahitaji kubadili category NACTE

Revo Busungu

Member
Oct 7, 2015
37
12
NACTE nimewatafuta but hawajarespond chochote. Nina kosa ndio, mimi ni form IV leaver nimeapply kwa awamu ya pili vyuo vitatu vya technology, ngazi ya diploma lakini nikaja kugundua kuwa guide book inaelekeza kuwa form IV leavers wote lazma tupite kwanza NTA level 4&5 ili tuingie diploma(NTA level 6).

Sasa nikiingia kwenye profile yangu hamna option ya kuchange category ili niapply kwa ngazi ya certificate.

Please msaada, nini cha kufanya?
 
NACTE nimewa tafuta but hawaja respond chochote ov Nina kosa ndio..mim ni form IV leaver nime apply kwa awamu ya pili vyuo vitatu vya technolgy, ngazi ya diploma..lakini nikaja kugundua kua guide book ina elekeza kua form IV leavers wote lazma tupite kwanza NTA level 4&5 ili tuingie diploma(NTA level 6). SAS nikiingia kwenye profile yangu Hamna option ya kuchange category ili nia apply kwa ngazi ya certi,,please msaada nin cha kufanya.
nenda chini ya prfle ako wameandika futa machaguo hpo utaanza upya kuaply
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom