Ndiyo jamaa alihitaji aoneshe ufundi wa kufungua mafile yenye password kwahiyo nimemtumia hicho file apambane nalo. Hiki kufile hata mm nakihitaji. Rejea post yangu hapo juu
MediaFire is a simple to use free service that lets you put all your photos, documents, music, and video in a single place so you can access them anywhere and share them everywhere.
Natafuta sana hili file pia wakuu, maana ukidownload yako zipped. Au mwenye software ya kucrack hizi password za zipped file kama isunshare ambayo iko cracked pia msaada tafadhali
Natafuta sana hili file pia wakuu, maana ukidownload yako zipped. Au mwenye software ya kucrack hizi password za zipped file kama isunshare ambayo iko cracked pia msaada tafadhali
Natafuta sana hili file pia wakuu, maana ukidownload yako zipped. Au mwenye software ya kucrack hizi password za zipped file kama isunshare ambayo iko cracked pia msaada tafadhali
Tafuta mtu wa tigo akuuzie hivi visimu vyao huwa vnazngua sn vnaishia kwny logo ukiwasha mafund wa kitaa hawawez ila ukipeleka tgo dk 10 tu tyr na ni bure kbs kwaiyo kama unataka file hiyo mtafute mtu wa tgo
Tafuta mtu wa tigo akuuzie hivi visimu vyao huwa vnazngua sn vnaishia kwny logo ukiwasha mafund wa kitaa hawawez ila ukipeleka tgo dk 10 tu tyr na ni bure kbs kwaiyo kama unataka file hiyo mtafute mtu wa tgo
Tigo shop ndo wana file za hzo simu unadhan wanaweza kukupa free ili uka unlock visimu vyao eti?
Yan hapo chonga dili na mtoa huduma wa tigo shop akuuzie hilo file la hivyo visimu upge hela maana tatzo la hivyo visimu ni kuwaka na kuishia njiani pia ku unlock line 1 iwe free
Tigo shop ndo wana file za hzo simu unadhan wanaweza kukupa free ili uka unlock visimu vyao eti?
Yan hapo chonga dili na mtoa huduma wa tigo shop akuuzie hilo file la hivyo visimu upge hela maana tatzo la hivyo visimu ni kuwaka na kuishia njiani pia ku unlock line 1 iwe free