Mwamba1961
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 610
- 397
Enzi nasoma soma kwenye vichuo chuo hapa mtaani kwangu, somo la ORGANIZATION BEHAVIOURNimekumbusha wapi ?
Aisee inabidi unipe ajira mkuu mm nmeishia form 3BEnzi nasoma soma kwenye vichuo chuo hapa mtaani kwangu, somo la ORGANIZATION BEHAVIOUR
Mzee baba
Hahaha yes mkuu...Mzee baba
Habari wakuu
Nahitaji dawa ya stress haraka sana mnitajie inaitwaje na gharama yake
Please
========================================