Msaada:NACTE Selection bado sijaona chuo nilichopangiwa

Msaada:NACTE Selection bado sijaona chuo nilichopangiwa

zoe shao

Member
Joined
Sep 15, 2016
Posts
17
Reaction score
2
Jaman wakuu naona sipo kwnye hi selection maana naandika username inakataa na kwenye profile yangu hawajanambia chochote.nifanyeje labda.
 
Jaman wakuu naona sipo kwnye hi selection maana naandika username inakataa na kwenye profile yangu hawajanambia chochote.nifanyeje labda.
Mbona ujaeleweka selection zp nacte au tcu
Punguza wenge toa taarfa ilyokua kamil
 
Jaman wakuu naona sipo kwnye hi selection maana naandika username inakataa na kwenye profile yangu hawajanambia chochote.nifanyeje labda.
subir bwana mpaka watoe official...au ingia maswayetublog utaona baadhi ya vyuo vilivyo achia majina yaliyo be selected
Mbona ujaeleweka selection zp nacte au tcu
Punguza wenge toa taarfa ilyokua kamil
 
Vuta subila,, hata mimi profile haioneshi chochote ila nimepigiwa simu kutoka kwa mkufunzi wa chuo flani kaniambia nacte wamenipangia huko
 
Hawajaweka kwenye profile ila Kuna vyuo vimeshatoa majina kama udom ila nafikir kuanzia j3 watarelease majina nacte na tcu hivyo tuwe na subira mana deadline ya application second selection ni Kesho na mitandao inasumbua
 
Back
Top Bottom