ZABRON HARUNA
New Member
- Jun 6, 2013
- 4
- 0
Kutokana na amri ya rais we2,ya kuwarundisha wahamiaj haramu.
Moyo umekutwa na simanz kwan nimeathirka kwa namna 1, kwan nilikuwa mwanamke wa kitusi na tuna watoto wa 3 na anamimba,
so nilikuwa naomba ushaur ambao unaweza kunusuru ndoa yng ambayo bado naipenda,
Moyo umekutwa na simanz kwan nimeathirka kwa namna 1, kwan nilikuwa mwanamke wa kitusi na tuna watoto wa 3 na anamimba,
so nilikuwa naomba ushaur ambao unaweza kunusuru ndoa yng ambayo bado naipenda,