ntundaga
Senior Member
- Sep 13, 2018
- 140
- 196
habarini wana jamvi, mimi ni kijana niliyezaliwa na kukulia kwenye misingi ya dini, nilipata bahati ya kusoma katika shule ya kidini hivyo kupata mafunzo mengi ya kidini lakini kaadiri nilivyopata mafunzo zaidi ya dini yangu ndivyo nilivyozidi kupata mikanganyiko mingi na mashaka juu ya dini yangu, spendi sana kuweka wazi ni dini gani na ni mikanganyiko gani kuepusha mjadala wa kidini.
katika taharuki hii nimejikuta nasima na kuvutiwa sana na imani ya BUDDHISM, naomba maoni yenu ni vipi naweza kupata mafundisho yao zaidi,? faida na hasara za imani hii, na pia kwa Tanzania wanapatikana wapi nikihitaji mentorship,? naomba msaada wenu wakuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
katika taharuki hii nimejikuta nasima na kuvutiwa sana na imani ya BUDDHISM, naomba maoni yenu ni vipi naweza kupata mafundisho yao zaidi,? faida na hasara za imani hii, na pia kwa Tanzania wanapatikana wapi nikihitaji mentorship,? naomba msaada wenu wakuu.
Sent using Jamii Forums mobile app