Msaada, mwenza wangu 'kiwango' kimeshuka sana

Msaada, mwenza wangu 'kiwango' kimeshuka sana

Kichwa habari cha husika, hali ya mwenza wangu s nzuri kama zamani, alkua ananpga shoo mpaka naomba poo ... tumelzungumzia lakn yeye haoni kama ni tatizo, tusaidieni!

Kumbe mnapenda kugegedwa sana enheeee?? Kipya kinyemi ukiona hvyo ushachujaaaa!! Leka dutigite...
 
Hahahaaaaaaa! Hiyo ni kwenye MAREDE , ukiona umechoka na mpira unaenda kasi ndo unaomba POOO!!!!!!! Ili uvute pumzi kidogo na kurefresh machejo kabla hujababuliwa na wazingaji!!!!!!
lara 1 kwa kifupi ungemwambia The Boss kwamba POO inatokana na neno la Kiingereza la POSE kkwa maana ya subiri kidogo
 
Last edited by a moderator:
Kichwa habari cha husika, hali ya mwenza wangu s nzuri kama zamani, alkua ananpga shoo mpaka naomba poo ... tumelzungumzia lakn yeye haoni kama ni tatizo, tusaidieni!

Mna miaka mingapi kwenye ndoa? Jamaa ana miaka ngapi? Hamuwezi ku-do kwa kasi ileile maisha yote!!! Mi mwenyewe nilifikiri labda nimemchoka mamaa, nika-cheat kujipima nikakuta kiwango ni kilekile hata nje. Ongezeni romance kuliko kutegemea sana nje-ndani (strokes)! Tunachoka jamani oh! Unajua inapofika sex imekuwa jukumu, kasi inapungua sana. Isikukere, ni nature!
 
ish!sasa hata hili hujui!lol
utapitwa na mengi mpka ushangae best yangu!
kuomba po ni ile enzi zenu(!!!!!!?????)mlikuwa mnasema mpaka aombe maji ya kunywa !

Nitajuaje kwani nilicheza rede?lol
 
Asante sana, mtambuzi ... ntahakikisha nasoma naye hata kiutani-utani ....
Ubarikiwe!
 
Back
Top Bottom