I'm a victim ... thx anyway!
Ok sorry.
Inawezekana wewe ndio una matatizo,au yeye ndo ana matatizo.
Una mjua yeye kuliko anyone else hapa MMU.
Kwa upande wake inawezekana:-
1. Ana mawazo mengi sana,jaribu kumdadisi.
2. Ana matatizo ya kiafya,kisukari haswa huja na madhara hayo (kamuone doctor).
3. Ana matatizo ya kiafya,i.e NYAMA UZEMBE,CHIPS KWA SANA,...(mshauri aanze mazoezi)
4. Alikua anatumia additives flani hapo kabla na sasa hawezi kuzi afford tena,..
(mdadisi zaidi,ilikuaje hapo kabla akawa bingwa na sasa sio,chukua hatua.)
5. Ukichoka chakula,either haukili,au kama unanjaa sana basi utaonja kidogo tu.
kwa upande wako.
1. Labda ulikua mchokozi enzi hizo,hadi anakua hawezi jizuia ila kucheza ngoma (jidadisi)
2. Yawezekana umekua mchafu sana,say you stink to the extent ukiwa nae karibu anatamani uondoke haraka
(kama hapo juu,unajijua zaidi)
3. mmmmmmmmmmh,mmmm maybe umri wako umeeenda sana na anakuona kama nyanyake..... (you know better)
Generally,...
Kwa kiwango kikubwa,ni vigumu kupata ushauri hivi hivi tu.
Ni sawa na kwenda kwa daktari ukamwambia ugonjwa wa mwenzio afu ukategemea
akupe tiba ya uhakika.
Ongea na mwenzi wako,mdadisi ujue nini chanzo.
From there utapata ushauri wa nini cha kufanya.
Kushindwa ku-perform on bed by it self sio ugonjwa.
Ila sababu ya kushindwa ku-perform ndio ugonjwa.
Hapa unaweza ambiwa tumieni viagra,kumbe jamaa ana mawazo kede kede.
Au wewe mwenyewe ukienda lala unanuka mdomo kweli,au kwapa sio kwapa.
Jisome mwenyewe,msome mwenzio,njoo upate ushauri.