Habari wakuu, Nina jamaa yangu yupo Canada na anasema kuna simu nzuri na bei yake ni cheap. Ila hizo cheap phone ziko locked na network provider wa huko. Anasema mfano, simu nzuri unaweza kuta ni Canadian dola 200 na iko locked na certain network provider.
Ku-unlock simu kama hiyo kwa Canada inaweza cost mpaka Canadian dola 700. Sasa nataka nimuagize simu kama Lumia 950 XL halafu nifanye unlock hapa Bongo. Naomba kujua toka kwa wadau wenye uzoefu wa ku-unlock hivi vitu. Kwa simu kama hiyo unaweza unlock hapa kwetu?, na inaweza cost how much.
Ku-unlock simu kama hiyo kwa Canada inaweza cost mpaka Canadian dola 700. Sasa nataka nimuagize simu kama Lumia 950 XL halafu nifanye unlock hapa Bongo. Naomba kujua toka kwa wadau wenye uzoefu wa ku-unlock hivi vitu. Kwa simu kama hiyo unaweza unlock hapa kwetu?, na inaweza cost how much.