Msaada: Mwenye Nyimbo za Mokibo Sound

Msaada: Mwenye Nyimbo za Mokibo Sound

UMUGHAKA

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2021
Posts
3,131
Reaction score
14,345
Kuna band moja ilikuwaga inaitwa MOKIBO SOUND (kama sijakokosea),kuna mtu anaweza akawa na nyimbo yoyote ya kwao?
 
[emoji444]Shime waafrikaaa....wakati umefikaaa...tufanye juhudi zetu kusaidia kukomeshaa...mauaji ya wenyewe kwa wenyewe waafrikaaeee mbona twajimalizaa[emoji444]

Chorus [emoji445]hakuna furaha,nisikiapoooo na kuonaaa..aaa....nyumba ya jiraniii kunawaka motoooo....baaliii ni huzuni pekeee inatawala kila pembe ya afrikaaaa[emoji445]


naweza kuwa nimekosea[emoji115] maneno machache hapo

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom