[emoji444]Shime waafrikaaa....wakati umefikaaa...tufanye juhudi zetu kusaidia kukomeshaa...mauaji ya wenyewe kwa wenyewe waafrikaaeee mbona twajimalizaa[emoji444]
Chorus [emoji445]hakuna furaha,nisikiapoooo na kuonaaa..aaa....nyumba ya jiraniii kunawaka motoooo....baaliii ni huzuni pekeee inatawala kila pembe ya afrikaaaa[emoji445]
naweza kuwa nimekosea[emoji115] maneno machache hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.