Msaada mwenye number ya Recho

Msaada mwenye number ya Recho

CHIEF JJ

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
1,075
Reaction score
357
Habari za wana JF.

Naombeni msaada mwenye number ya mdada Recho mwimbaji wa nyimbo za kibongo anitumie au anipe.

Maana kati ya wasanii wa kibongo wa kike nampenda sana huyu dada naombeni msaada wenu maana nimejitahidi kuitafuta ila mpaka sasa sijawahi kuipata.

NAOMBENI MSAADA WENU.
 
kuna vijana flan wapo mitaa ya kinondoni hao kaz yao ni kuuza namba za mastaa na pia kama dau lako kubwa wanakukutanisha nao
 
kuna vijana flan wapo mitaa ya kinondoni hao kaz yao ni kuuza namba za mastaa na pia kama dau lako kubwa wanakukutanisha nao

Msaada jamani mwenye namba ya Pritty wa joseph,ananikosha sana,ona kwenye avatar yake alivyovaa kwa heshima na anavyotabasamu kwa pozi,msaada jamani!!!
 
Last edited by a moderator:
Msaada jamani mwenye namba ya Pritty wa joseph,ananikosha sana,ona kwenye avatar yake alivyovaa kwa heshima na anavyotabasamu kwa pozi,msaada jamani!!!
huo ndiyo wako kwangu au? mie namtafuta recho na nikija kumpata basi moyo wangu ndiyo utlizika
 
Last edited by a moderator:
Mie namtafuta pritty wa joseph na nikija kumpata basi moyo wangu ndiyo utlizika
mbona huyo namba yake ninayo na nakaa naye huku,,,,ww nitafutie number ya recho na mimi takupa ya huyo
 
Last edited by a moderator:
Kaazi kweli kweli......kwa hali hii shilingi itaendelea kuporomoka
 
Alisemaga hapendi wanaume wa kibongo, sorry
 
mtumie text akiiona tu atakipgi namjua recho hana maringo we tuma text tu hyo namba uliyopewa
 
Back
Top Bottom