Washa huku ukibonya bonya F8. Utapata menu ya kuchagua Safe Mode. Ingilia hapo halafu nenda karekebishe. Au chagua Safe Mode with Command Prompt, then run CHKDSK.
Washa huku ukibonya bonya F8. Utapata menu ya kuchagua Safe Mode. Ingilia hapo halafu nenda karekebishe. Au chagua Safe Mode with Command Prompt, then run CHKDSK.
unaformat vipi? yani unaenda tu pale my computer una right click hard disk halafu unachagua format? kama ni hivyo, basi haiwezekani kuformat hard disk inayocontain windows bila kutumia CD
inawezekana ni antvirus au security feature inahisi ni Virus anyetaka kuformat so inazuia. . Unataka kuformat kwa njia gani DOS au GUI?
AU Fany hivi kama umesha back up data zako zote format mashine wa kutumia Windows DVD. Zima mashine. Ingiza DVD, restart mashine . Fanya installtion upya ka ku create partition upaya na sio repair.
Tatizo la mashie uwa nzito inawezekana umeweka antivirus mbili kwenye backround zinaiweka mahine busy sana kwani kila moja inaone mwenzake ni tatizo. Lakini kwa kuwa umeamua format endelea na format
Kama wewe ni mjuzi wa mambo ya computer fanya haya kama hujui basai jitayarishe kutoa pesa.
Hapo juu kuna mtu amekushauri u google kama ulivyouliza hapa as lazima utakutana na forums zinaongelea hili ingia usome unaweza solve tatizo lako ukielewa wanasema wamefanya nini etc
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.