Maganga Mkweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 2,090
- 827
Habari wakuu,
mimi ni mhandisi wa umeme(electrical engineer) nimemajor kwenye power system engineering (switch gear and protection ,electrical machines ,power electronics ,power system analysis +electrictal distribution and transmission).sina muda mrefu kwenye hii industry ni mwaka toka nimalize nimefanya kazi kidogo katika process industry na sasa nafanya kazi za designing(detail design,preparation of boq, technical assistance to various dept of the company and fill technical schedule in tender document) .
Ninaomba kama kuna mtu anaweza kuwa na mawasiliano na waajiri au recruitment agent wa rwanda na southern sudan anipatie maana nijaribu huko katika nyaja hii.
Nawasilisha asanteni.
mimi ni mhandisi wa umeme(electrical engineer) nimemajor kwenye power system engineering (switch gear and protection ,electrical machines ,power electronics ,power system analysis +electrictal distribution and transmission).sina muda mrefu kwenye hii industry ni mwaka toka nimalize nimefanya kazi kidogo katika process industry na sasa nafanya kazi za designing(detail design,preparation of boq, technical assistance to various dept of the company and fill technical schedule in tender document) .
Ninaomba kama kuna mtu anaweza kuwa na mawasiliano na waajiri au recruitment agent wa rwanda na southern sudan anipatie maana nijaribu huko katika nyaja hii.
Nawasilisha asanteni.