Msaada mwenye connection ya kazi za migodini

Msaada mwenye connection ya kazi za migodini

Sukari Mine

New Member
Joined
Dec 9, 2020
Posts
4
Reaction score
14
Habari zenu wanajamvi..!

Binafsi ni muhitimu wa ngazi ya shahada ya kwanza katika kada ya uchimanji madini (BsC in Mining Engineering) .

Ninaomba msaada kwa yeyote mwenye connection ya kazi katika migodi anisaidie.

Nina uzoefu katika usimamiaji wa crusher na plant .

Pia nina leseni ya ulipuaji (Blasting Licence) inayotolewa na wizara madini.

Ujuzi wa Softwares kama :Ms Word,Excel ,Power Point,Scada ,AutoCAD n.k.

Asanteni sana ,Mungu awabariki.
 
Andika maombi kampuni za madini PELEKA CV yako kampuni za madini wakikuhitaji watakuita ingia email zao submit
 
Back
Top Bottom