tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,398
- 4,729
Utadhani ya kurithishwa.Huwezi ukawa mtu wa mac halafu unaogopa gharama
Utadhani ya kurithishwa.Huwezi ukawa mtu wa mac halafu unaogopa gharama
Vijana mna manenoUtadhani ya kurithishwa.
Sawa mkuu, ila sijasema kama nahitaji kwa 15Humu hamna mnunuaji ni porojo tu alijua bei ni 15,000 kama anananunua charger ya USB![]()
Nimekwambia ni Pm useme na bei yako mkuuHumu hamna mnunuaji ni porojo tu alijua bei ni 15,000 kama anananunua charger ya USB![]()
Ahsante Sana Mkuu, nimefanikiwa kupata Kariakoo pale.Ukifeli nambie kupata,nambie niseme na jamaa yangu wa Dubai atupe bei za huko kama itakuwa bei rafiki au Lah!
hahaha aachane na MAC haziwezi, aje kwenye izi toshiba kwa kweliHumu hamna mnunuaji ni porojo tu alijua bei ni 15,000 kama anananunua charger ya USB![]()
Siuzi kaangalie madukan huko