Mrs Gudman
JF-Expert Member
- Jul 3, 2015
- 613
- 1,300
Habari wadau wa Jf
Nina tatizo ambalo linanisumbua kwa mwanangu. Mwanangu anakula chumvi kupita kiasi, ana miaka mitatu kasoro.
Hii tabia ameirithi kwa Baba yake ambaye naye alikuwa anakula chumvi sana, awezi kula chochote bila chumvi na hata akila anasema asikii ladha ya hicho chakula, chapati anaongeza chumvi kila kitu chakula chake ukiweka chumvi ya kawaida anaongeza kama nusu kijiko mtu wa kawaida uwezi kuonja kitu anachokula.
Hii hali siipendi kabisa lakini cha kusikitisha Mwanangu naye karithi, Mtoto anatoroka anakimbilia jikoni unamkuta kachukuwa chumvi kamwaga kwenye sahani ametulia anakula, tunda lolote hali bila chumvi, kuanzia papai, parachichi mkate na kila kitu mpaka kuwe na chumvi la sivyo atalia sana. Kwa sasa tunaificha chumvi kuliko sukari
Nisaidieni Kwanza nifahamu chanzo cha tatizo hili na namna navyoweza kumnusuru Mwanangu
Nina tatizo ambalo linanisumbua kwa mwanangu. Mwanangu anakula chumvi kupita kiasi, ana miaka mitatu kasoro.
Hii tabia ameirithi kwa Baba yake ambaye naye alikuwa anakula chumvi sana, awezi kula chochote bila chumvi na hata akila anasema asikii ladha ya hicho chakula, chapati anaongeza chumvi kila kitu chakula chake ukiweka chumvi ya kawaida anaongeza kama nusu kijiko mtu wa kawaida uwezi kuonja kitu anachokula.
Hii hali siipendi kabisa lakini cha kusikitisha Mwanangu naye karithi, Mtoto anatoroka anakimbilia jikoni unamkuta kachukuwa chumvi kamwaga kwenye sahani ametulia anakula, tunda lolote hali bila chumvi, kuanzia papai, parachichi mkate na kila kitu mpaka kuwe na chumvi la sivyo atalia sana. Kwa sasa tunaificha chumvi kuliko sukari
Nisaidieni Kwanza nifahamu chanzo cha tatizo hili na namna navyoweza kumnusuru Mwanangu