BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,060
- 2,111
Mwaka huu nimeliona joto aisee
yah.. mm wangu Dr. Ameer alimshindwa akaponea Muhimbili pale hawabahatishi.
yah.. mm wangu Dr. Ameer alimshindwa akaponea Muhimbili pale hawabahatishi.
yah.. mm wangu Dr. Ameer alimshindwa akaponea Muhimbili pale hawabahatishi.
If mtoto hapati choo kwa muda mrrfu na analia sana ni indication moja wapo ya shida kwenye mfumo wa chakula hasa utumbo mpana. Na kuna vipimo huwa wanafanya kubaini hilo.Wako alikua na shida gani?
Utumbo ulikua umejikunjaWako alikua na shida gani?
ndo ukubwa mzee baba. Usikubali maneno ya hiyo ni kawaida...mtoto hatakiwi kuzembewa kwa lolote lile.Mwaka huu nimeliona joto aisee
If mtoto hapati choo kwa muda mrrfu na analia sana ni indication moja wapo ya shida kwenye mfumo wa chakula hasa utumbo mpana. Na kuna vipimo huwa wanafanya kubaini hilo.
Mpeleke hospitali anakoweza kuonana na madaktari. Ukiweza kumpata daktari bingwa wa watoto itakuwa vema sana.
Dr. Hameer wa Ilala karibu na Faya ni maarufu kwa kusaidia watoto. Unaweza kuangalia iwapo ni vema ukampeleka mtoto wako hapo.
Sure huko kwingine utatumia gharama kubwa ambapo mwisho wa siku wakishindwa watakurefer uende muhimbili.Ndugu umenigusa sana itabidi niende Muhimbili
Unaweza kumuona daktari bingwa mwingine kwa maoni mbadala. Muhimbili, patafaa zaidi; au ukimuona dk bingwa wa Muhimbili katika hospitali binafsi.Nilikuona hameer kasema hana shida
Alipozaliwa alipata haja kubwa ndani ya 24 hrs?
Unaweza kumuona daktari bingwa mwingine kwa maoni mbadala. Muhimbili, patafaa zaidi; au ukimuona dk bingwa wa Muhimbili katika hospitali binafsi.
Ndio Mkuu ni mtoto wangu wa kwanzaMkuu pole na changamoto hio? Kwanza naomba kufaham, huyo ndio mtoto wako wa kwanza??
Sent using Jamii Forums mobile app