My baby is almost 5yrs now!!
Hapendi kula kabisa yaani .nimetumia unga zote za lishe , nimebadili mapishi yote lakini wapi.
Akifungua shule anakonda vibaya mno maana sidhani kama anakula vizuri huko.
Naombeni msaada wa mawazo mbalimbali nini kifanyike .
Sent from my SM-A725F using
JamiiForums mobile app