The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,149
- 2,536
Jamani nimempeleka hospital lakini wamesema hana kitu ila anachemka sana halafu anakuwa kama anaweweseka au kusisimka joto likipanda.kwa sasa anamalizia ant malaria (mseto)madokta nisaidieni ni dawa au ni kingine?