Mwanzo ni Mwisho JF-Expert Member Joined Mar 9, 2016 Posts 4,397 Reaction score 10,846 Nov 23, 2016 #61 mbona kawaida kaka stunter... moshi kule wachanga iyo elf 15 yako unauziwa busu la shavu 1 tu.
STUNTER JF-Expert Member Joined Dec 15, 2015 Posts 13,077 Reaction score 17,260 Nov 23, 2016 Thread starter #62 ammoshi said: Stunter unasikia bro kasemaje Click to expand... Mwambie Mentor Sikuzote mtu mzima hatishiwi nyau
ammoshi said: Stunter unasikia bro kasemaje Click to expand... Mwambie Mentor Sikuzote mtu mzima hatishiwi nyau
fine face Senior Member Joined Oct 13, 2016 Posts 102 Reaction score 79 Nov 24, 2016 #63 Hao wadada mnaowatongozaga wanashida saana aisee
goldie ink JF-Expert Member Joined Oct 6, 2016 Posts 5,634 Reaction score 9,151 Nov 24, 2016 #64 Njoo nikukopeshe 50,000/= Napita tu........!!!!!!
HARUFU Platinum Member Joined Jan 21, 2014 Posts 31,704 Reaction score 48,140 Nov 24, 2016 #65 Bobbyray said: Mbona pesa ndogo hiyo wenzako wanatoa Zaidi lakini hawambulii kitu Click to expand... Kila Mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake
Bobbyray said: Mbona pesa ndogo hiyo wenzako wanatoa Zaidi lakini hawambulii kitu Click to expand... Kila Mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake
sawe4u JF-Expert Member Joined Sep 11, 2016 Posts 973 Reaction score 574 Nov 24, 2016 #66 Kwani lazma ule leo jipange upyaa
WirelessBrain JF-Expert Member Joined Apr 11, 2016 Posts 980 Reaction score 1,351 Nov 24, 2016 #67 Piga kampeni utapata tu.
STUNTER JF-Expert Member Joined Dec 15, 2015 Posts 13,077 Reaction score 17,260 Nov 24, 2016 Thread starter #68 fine face said: Hao wadada mnaowatongozaga wanashida saana aisee Click to expand... Vipi, ungekuwa wewe usingezingua?
fine face said: Hao wadada mnaowatongozaga wanashida saana aisee Click to expand... Vipi, ungekuwa wewe usingezingua?
STUNTER JF-Expert Member Joined Dec 15, 2015 Posts 13,077 Reaction score 17,260 Nov 24, 2016 Thread starter #69 goldie ink said: Njoo nikukopeshe 50,000/= Napita tu........!!!!!! Click to expand... Jinsia yako kwanza
goldie ink said: Njoo nikukopeshe 50,000/= Napita tu........!!!!!! Click to expand... Jinsia yako kwanza
Aurora JF-Expert Member Joined May 25, 2014 Posts 7,308 Reaction score 5,275 Nov 24, 2016 #70 STUNTER said: lin hata kunishauri???? Click to expand... sina cha kusema coz ulikuwa na lengo nae baya
STUNTER said: lin hata kunishauri???? Click to expand... sina cha kusema coz ulikuwa na lengo nae baya
mumychaby Senior Member Joined Oct 29, 2016 Posts 107 Reaction score 51 Nov 24, 2016 #71 Dah pole xna, inatakiwa ukiliwa na ww ule atakufata tena hy one day utalipiza
Joanah JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 24,865 Reaction score 89,792 Nov 24, 2016 #72 STUNTER said: Then I need you here Click to expand... Anything for you
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Nov 24, 2016 #73 Yaan elf 15 ndio unalialia
Ekyoma JF-Expert Member Joined Dec 30, 2015 Posts 2,177 Reaction score 2,805 Nov 24, 2016 #74 shunie said: Yaan elf 15 ndio unalialia Click to expand... Ww elfu 15 unaichukulia poa usawa huu wa sizonje
shunie said: Yaan elf 15 ndio unalialia Click to expand... Ww elfu 15 unaichukulia poa usawa huu wa sizonje
jje's JF-Expert Member Joined Sep 3, 2014 Posts 10,886 Reaction score 16,584 Nov 24, 2016 #75 STUNTER said: Yani huyo ni mtu tu ameniomba ushauri so mimi nikajivika kivuli chake na kumuwakilisha humu... Am sorry bae Click to expand... noted bbyto
STUNTER said: Yani huyo ni mtu tu ameniomba ushauri so mimi nikajivika kivuli chake na kumuwakilisha humu... Am sorry bae Click to expand... noted bbyto
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Nov 24, 2016 #76 Ekyoma said: Ww elfu 15 unaichukulia poa usawa huu wa sizonje Click to expand... acheni udume suruali
Ekyoma said: Ww elfu 15 unaichukulia poa usawa huu wa sizonje Click to expand... acheni udume suruali
Transcend JF-Expert Member Joined Jan 2, 2015 Posts 20,553 Reaction score 63,058 Nov 24, 2016 #77 Mimi simpi demu hata 100 ila atakula bata analotaka ! Anywhere...! Anything...! Ukipewa hela ujie no Bata
Mimi simpi demu hata 100 ila atakula bata analotaka ! Anywhere...! Anything...! Ukipewa hela ujie no Bata
STUNTER JF-Expert Member Joined Dec 15, 2015 Posts 13,077 Reaction score 17,260 Nov 24, 2016 Thread starter #78 mumychaby said: Dah pole xna, inatakiwa ukiliwa na ww ule atakufata tena hy one day utalipiza Click to expand... ngoja nivute subira huenda zari likawa langu
mumychaby said: Dah pole xna, inatakiwa ukiliwa na ww ule atakufata tena hy one day utalipiza Click to expand... ngoja nivute subira huenda zari likawa langu
STUNTER JF-Expert Member Joined Dec 15, 2015 Posts 13,077 Reaction score 17,260 Nov 24, 2016 Thread starter #79 Transcend said: Mimi simpi demu hata 100 ila atakula bata analotaka ! Anywhere...! Anything...! Ukipewa hela ujie no Bata Click to expand... Hata kwangu ndo ilivyokuwa mkuu, yani hiyo hela tulitumia pamoja,
Transcend said: Mimi simpi demu hata 100 ila atakula bata analotaka ! Anywhere...! Anything...! Ukipewa hela ujie no Bata Click to expand... Hata kwangu ndo ilivyokuwa mkuu, yani hiyo hela tulitumia pamoja,
donaldson don JF-Expert Member Joined Oct 28, 2016 Posts 624 Reaction score 416 Nov 24, 2016 #80 Daaaah kweli mkuu pesa ngumu xana kwa xaxa elf 15 unaacha pesa home ya siku mbili aisee kama mchelele na mafuta yapo pamoja na unga
Daaaah kweli mkuu pesa ngumu xana kwa xaxa elf 15 unaacha pesa home ya siku mbili aisee kama mchelele na mafuta yapo pamoja na unga