Wakuu yani jana usiku sikupata usingizi kabisa,
Kuna demu mmoja niligharamia Elf 15 nikajua ntakula mzigo lakini matokeo yamekuwa tofauti,
Naijutia hela yangu ya ngama....
Sasa ili si ungelipeleka kijiwe chenu cha bangi , haikuwa na haja ya kupost hapa , huyo demu achana naye hutakaa umpate nao wamechoka sana kuwathaminisha na pesa, mkifikiri wao hawana moyo wa kupenda
Sasa ili si ungelipeleka kijiwe chenu cha bangi , haikuwa na haja ya kupost hapa , huyo demu achana naye hutakaa umpate nao wamechoka sana kuwathaminisha na pesa, mkifikiri wao hawana moyo wa kupenda