Msaada Msaada Msaada please!!!!!

Msaada Msaada Msaada please!!!!!

emike

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2011
Posts
345
Reaction score
109
Heshima zenu wana jf, ninayo desktop aina ya Dell inspiron 520s ilikuwa inafanya kazi vizuri tu lkn kuanzia jana baada ya watoto kuchezea games, uki boot monitor inaonyeshe Iko kwenye sleep mode na inazima na kuweka kiza je nitumie njia gani ku solve tatizo hili hapa nyumbani kabla ya kutafuta fundi???? Natanguliza shukrani zenu.
 
Heshima zenu wana jf, ninayo desktop aina ya Dell inspiron 520s ilikuwa inafanya kazi vizuri tu lkn kuanzia jana baada ya watoto kuchezea games, uki boot monitor inaonyeshe Iko kwenye sleep mode na inazima na kuweka kiza je nitumie njia gani ku solve tatizo hili hapa nyumbani kabla ya kutafuta fundi???? Natanguliza shukrani zenu.


Inaonesha wamebadilisha resolution , wameweka resolution kubwa kuliko uwezo wa monitor hiyo.

Kuhakikisha kama tatizo ni resolution , acha iwake kabisa, na uangalie taa za kwenye cpu kama zinawaka (taa za hdd na power)

Tafuta monitor ya chogo (crt) itumie kurudisha resolution ndogo
 
Hapo hakuna mawasiliano baina ya monitor na desktop.

1. Angalia waya kutoka desktop hadi monitor kama umechomekwa vizuri.
2. Angalia kama cpu inawaka
 
Unatumia window gani?

natumia w7,nadhani cpu inafanya kazi kwa sababu kila ukizima power tab ya monitor ukiwasha very briefly inaonyesha computer Ilisha boot na Kwa Haraka unaweza ukaingia kwenye applications lakini monitor inarudi kwenye kiza unaona maandishi au icons Kwa mbali sana!!!!!
 
natumia w7,nadhani cpu inafanya kazi kwa sababu kila ukizima power tab ya monitor ukiwasha very briefly inaonyesha computer Ilisha boot na Kwa Haraka unaweza ukaingia kwenye applications lakini monitor inarudi kwenye kiza unaona maandishi au icons Kwa mbali sana!!!!!

Probably Resolution ni kubwa kama nilivyokuambia before. Ni kawaida kwa resolution ikiwa sio optimal ( na ikiwa imezidi) Monitor inaenda Sleep.

Je? wakati unawasha cmputer, inakuonesha ile logo ya DELL? na yale maneno ya F2 , F12 yanaonekana?

Kama ni hivyo:

Washa computer katika safe mode, How to go SAFE MODE?

zima computer kabisa,

washa, na wakati inawaka Bonyeza F8 mara kadhaa, itakuletea option kadhaa
chagua Safe Mode.
 
natumia w7,nadhani cpu inafanya kazi kwa sababu kila ukizima power tab ya monitor ukiwasha very briefly inaonyesha computer Ilisha boot na Kwa Haraka unaweza ukaingia kwenye applications lakini monitor inarudi kwenye kiza unaona maandishi au icons Kwa mbali sana!!!!!

Asubuhi ya kesho nistue kwenye saa tano hivi tuishughulikie kama itakuwa bado hujapata ufumbuzi.
 
baada ya kuingia kwenye net mjuzi mmoja alishauri nitoe ram na ni install upya vizuri na nilipofanya hivyo imekubali ahsanteni kwa michango yenu!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom