Msaada jamani pc inawaka ila monitor hai display while iko on.

Msaada jamani pc inawaka ila monitor hai display while iko on.

Trust ME

Member
Joined
Sep 14, 2013
Posts
77
Reaction score
6
Wakuu habari zenu!
Hii imenitokea jana desktop yangu kipindi cha nyuma ilkuwa ikiwaka vizur from BIOS to boot window ila ilikuwa na tatzo la kuonyesha mawimbi kwenye monitor ila baada ya mda inakuwa fresh ila nikiplay game au video inaonyesha mawimbi pia muda mwingine inakuwa fresh.
Jana nili reset waya za hard disk na na kuireset pia CPU labda itakuwa imecheza .
Cha ajabu nikiwasha compiuter inawaka vizur feni zinacheza pamoja na ya CPU ila hai display kwenye monitor .
Wakuu naombeni msaada wenu wa kila mbinu kwani pc yangu ndio kila kitu kwangu
oooh jf ntaishia tu kwenye simu.
 
Sasa hapo tatizo ni hizo nyaya ulizochanganya...na kama zipo sawa basi nyaya inayopeleka taarifa kwa monitor ni mbovu...au kwenye monitor kuna button bonyeza hiyo manake yaweza kuwa off
 
Kuna vitu kadhaa vya kuangalia.

1. Inawezekana VGA cable imeharibika.
2. Kama wakati wa kuboot ina beep beep, basi uenda RAM hazijakaa vizuri au zimeharibika.

Ngoja wadau waongeze michango yao, bila shaka tatizo litatatulika.
 
Kuna vitu kadhaa vya kuangalia.

1. Inawezekana VGA cable imeharibika.
2. Kama wakati wa kuboot ina beep beep, basi uenda RAM hazijakaa vizuri au zimeharibika.

Ngoja wadau waongeze michango yao, bila shaka tatizo litatatulika.

mkuu nahisi VGA ndo inaznguaa kwa kuwa ilkuwa ikileta mawimbi awali ila sina uhakika sana cause ishindwe hata kuwasha BIOS
 
Kabla hujabadili VGA cable,angalia vile vipini saa zingine kama kimoja hakijanyooka vizuri inaleta shida. Kinyooshe kilichopinda,itakuwa poa.
 
mm na lap top ila inawaka fresh ila haidisplay chochote
 
Back
Top Bottom